anajua kg hawahitaji ndege za kisasa wanatumia zakwao za jadi ambazo ni cheep
nadhani waboreshe reli na barabara kuwasaidia wahamiaji:rapture:
Pia kuna tetesi kuwa miaka yaunajengwa na fedha zimeshatengwa
mwanzoni mwa 2000 wamarekani walitaka kuujenga wao wenyewe ili wautumie kwaa jili ya kuvusha madini na kupelekwa walinda amani Kongo lakini serikali ya bongo ikataka wapewe hizo hela wakatoa nje hawakaujenga tena
Ako ka-katuni mbona kana nitisha mkuu?Kama vle kachawi??teh teh tehanajua kg hawahitaji ndege za kisasa wanatumia zakwao za jadi ambazo ni cheep
nadhani waboreshe reli na barabara kuwasaidia wahamiaji:rapture:
Sio Uwanja Wa ndege huo kaka, ni airstrip