Swali kwa Zitto Kabwe....

Swali kwa Zitto Kabwe....

i pad3

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2012
Posts
1,518
Reaction score
378
kwa nini uwanja wa ndege wa kigoma hauna lami?kuweka lami ni jambo la anasa?
inawezekena huhusiki ila sijaona mtu mwingine wa kuuliza hili swali la kuhusu kigoma
kigoma.jpg
 
anajua kg hawahitaji ndege za kisasa wanatumia zakwao za jadi ambazo ni cheep

nadhani waboreshe reli na barabara kuwasaidia wahamiaji:rapture:
 
Jana niliuliza hapa,,na kumbe ndege ilishindwa kunyanyukwa kwa sababu running way ilikuwa na matope..big shame
 
unajengwa na fedha zimeshatengwa
mwanzoni mwa 2000 wamarekani walitaka kuujenga wao wenyewe ili wautumie kwaa jili ya kuvusha madini na kupelekwa walinda amani Kongo lakini serikali ya bongo ikataka wapewe hizo hela wakatoa nje hawakaujenga tena
 
Inasikitisha sana kama kweli tulidai tupewe hela!!!
 
anajua kg hawahitaji ndege za kisasa wanatumia zakwao za jadi ambazo ni cheep

nadhani waboreshe reli na barabara kuwasaidia wahamiaji:rapture:

Is this great thinking? Jipime mkuu watu wanaongea hoja za mabadiliko na siyo hivi.
Back to topic ule uwanja ulikuwa ukitumiwa sana na UN kwa ajili ya operationa zao za Congo na nadhani wao ndio waliokuwa wanagharimia maintenance ya uwanja huo.
 
unajengwa na fedha zimeshatengwa
mwanzoni mwa 2000 wamarekani walitaka kuujenga wao wenyewe ili wautumie kwaa jili ya kuvusha madini na kupelekwa walinda amani Kongo lakini serikali ya bongo ikataka wapewe hizo hela wakatoa nje hawakaujenga tena
Pia kuna tetesi kuwa miaka ya
Ya 2000,kuna fungu kubwa lilitengwa kwa ajili ya kufanya ukarabati mkubwa kwa viwanja vingi vya ndege!Hiyo pesa ikaelekezwa mkoa mmoja tu kusini na kujenga uwanja mpya ambao hata hivyo mpaka sasa haujakamilika.ilikuwa kwa influence ya waziri mmoja?
 
Kwani huo uwanja upo kwenye jimbo gani?maana huenda ukawa upo jimbo la Serukamba!!
 
Miaka 50 ya Uhuru...Tumethubutu Tumeweza na Tunasonga mbele...!
 
anajua kg hawahitaji ndege za kisasa wanatumia zakwao za jadi ambazo ni cheep

nadhani waboreshe reli na barabara kuwasaidia wahamiaji:rapture:
Ako ka-katuni mbona kana nitisha mkuu?Kama vle kachawi??teh teh teh
 
Back
Top Bottom