funzadume
JF-Expert Member
- Jan 28, 2010
- 13,559
- 21,040
hapo inategemea na nilivyoamka siku hiyo kama nikiwa na hasira na bunduki karibu ningeua, na kama nimeamka vizuri ningemrudisha kwao kwa amani mpaka hapo atakapokuja kuomba msamaha ila inategemea na situation niliyoamka nayo siku hiyo maana inategemea sana na situation siwezi kusemea kabla hayajatokeaMimi ningependa tu kuwauliza kina kaka mloisoma hadithi ya Mwanajamii opssssssssss Mwanakijiji. Je kama wewe ndie ungemfuma mkeo alilimwa na shamba boy kama Waziri alivyokuwa anafanya kwa housegirl. Na kama ungekuwa huna option ya kumwacha, kumpiga ungechukua uamuzi gani na hasira yako??