JS
JF-Expert Member
- Sep 29, 2009
- 2,064
- 499
Wana JF za asubuhi/mchana/jioni!!!! Nimekuwa nikifuatilia ile hadithi ya Mwanakijiji ya Kisa cha Mjamaika ina mambo mengi visa mbalimbali vya kimapenzi. Sasa hadithi hiyo imenifanya nipate swali: Hivi suala la kunyimwa haki ya mwili (Unyumba) linakuaje?? na wanaume nao mnatoa adhabu hiyo kwa wasichana/wake zenu wanapowakosea au wanapowaudhi??? Maana inaonekana wanawake wanatumia zaidi hiyo kama silaha yao (sina uhakika wa statistics lakini hata kwenye mahusiano ya kawaida tu inatokeaga)
Clementina kamnyima Waziri unyumba kwa miezi 7/8 hivi na mnalala kitanda kimoja mnaamka wote mnaonana kila kitu lakini ndo hivyo miezi 7 Waziri hakuona ndani. Imenishtusha kidogo hali hii.
Clementina kamnyima Waziri unyumba kwa miezi 7/8 hivi na mnalala kitanda kimoja mnaamka wote mnaonana kila kitu lakini ndo hivyo miezi 7 Waziri hakuona ndani. Imenishtusha kidogo hali hii.