Swali Kwa Wanawake wa zama hizi: Kwanini Mjirembe/Kujipodoa/Make- Up. Aren't you beautiful, hamuamini katika urembo wenu

zagarinojo

JF-Expert Member
Jul 26, 2020
2,622
2,835
Dunia imepitia mabadiliko makubwa ya sayansi na teknolojia.Bila kusahau uanzishwaji wa vipodozi na vifaa vingine vya urembo.

Utafiti unaonesha wanawake wa marekani na mabinti hutumia muda wao mwingi kujiremba ukilinganisha na muda unaoutumika katika kupata elimu .

Kwa Tanzania nadhani licha ya kuwa utafiti haujafanyika imeshakuwa Kama tendency/addiction mtu anapoanza kuzoea kujipodoa kuacha ni ngumu.

Lakini hii imekuja hivi wakati wa zamani kabla ya ugunduzi hakukuwa na kujiremba/kujipodoa bali mwanamke alibaki na ngozi na muonekano wake asili(natural beauty).

Lakini leo hii ngumu kupata mwanamke asiyejiremba/kujipodoa/make-up.Awe ameolewa awe single awe binti mdogo mwendo ni ule ule.

Hutoshangaa endapo utamuona mwanamke kama Alicia Keys siku ya harusi kwa sababu ya make up Ila baada ya harusi make up zikiisha umuone Kama Mwajuma.

Wanawake wa leo wamefanya kujipodoa Kama sehemu yao ya maisha na hutumia muda na gharama nyingi katika hilo.

Je ni kwamba sio warembo,hawana mvuto au wanajiremba kuongeza mvuto.
Kwanini wasibakie na urembo na mvuto wa asili.
 
Jamani jipodoeni tu huyu wala asiwatishe

Imagine Tausi bila make up atakuaje?

Mwisho wa siku tuonekane wote kama wanaume tu
 
Imagine begi bila bega ama bendi bila dancers...ni sawa na wanawake bila kujipodoa😂😂
 
Zamani ulikuwepo? Jifunze historia kabla hujaropoka na kupotosha watu!

1600937271387.png


1600937498714.png



1600937383437.png


1600937620365.png


1600937773360.png

1600938106271.png
 
Sikuona sehemu ulisema wanwake wa Tanzania. Kwa hiyo hizo picha zote ni developed countries? Development ni nini na ilianza lini? Labda ili tuwe na focus, andika ni miaka gani unayorejea .
Alafu hata hivyo waliokuwa wanafanya hivyo ni watoto wa familia za kifalme na za kitajiri
 
Alafu hata hivyo waliokuwa wanafanya hivyo ni watoto wa familia za kifalme na za kitajiri

Soma hizo picha vizuri kabla hujajibu.


1600939367554.png

1600939396862.png


1600939443260.png


1600939872394.png


Mkuu kama unataka kuelewa, uliza ufundishwe. Vinginevyo utaonekana unakwepa gharama za kutunza mwanamke na ndiyo sababu unataka wanawake maskini. Au hujui unachokitaka.

Wanawake wa Zamani ndio hawa wenye urembo hatari. Achilia mbali masuala ya ukeketaji, n.k.
 
Soma hizo picha vizuri kabla hujajibu.


View attachment 1579146
View attachment 1579148

View attachment 1579149

View attachment 1579153

Mkuu kama unataka kuelewa, uliza ufundishwe. Vinginevyo utaonekana unakwepa gharama za kutunza mwanamke na ndiyo sababu unataka wanawake maskini. Au hujui unachokitaka.

Wanawake wa Zamani ndio hawa wenye urembo hatari. Achilia mbali masuala ya ukeketaji, n.k.
Mi huo siwezi Ku u consider Kama urembo yaani kujaharibu mdomo na kujitoboa toboa ndo urembo gani sasa
 
Mi huo siwezi Ku u consider Kama urembo yaani kujaharibu mdomo na kujitoboa toboa ndo urembo gani sasa

Ha ha hahahaaaaaaaaaaaaa!. Mkuu, ndio huo. Enzi zile bila kuvaa hilo sahani msichana hata wachumba hawamwangalii!. Kupanua matundu ya midomo na masikio yalikuwa mashindano. Mtoto asipopewa ruhusa na chakula na njiani na mahindi ama mazao ya kulipia gharama za kumtafuta fundi wa michoro na michongo hiyo, ilikuwa ni tafrani kwenye familia hiyo.

Na wataalamu wa hizo mambo walikuwepo maalumu kama vile ngariba ambavyo wameendelea kuwa special taaluma.
 
Back
Top Bottom