Come to think of it...nimeshindwa kuelewa kwa maana ingekuwa kweli basi yafuatayo yasingefanyika
#1. Wanaume wangeacha kutongoza maana kwa vile hawapendi kushea- probability kuwa unayemtongoza ana mwenyewe au alishawahi kuwa na mtu ni kubwa - na kwa vile hampendi basi mnatunziana heshima na hamtapenda kuendeana kinyume na imani yenu.
#2. Wanaume wasingeenda kwenye brothels au kuchukua changudoa maana hao ndiyo kabisaaaaaaa hawana cha msalie mtu - ni bandika bandua tu na hii siyo siri
#3. wanaume wasingetongoza wake/wapenzi wa marafiki zao achilia mbali wake/wapenzi wa watu wasiowajua.
Ushauri - kama ni kweli hampendi kushea basi fanye a pact kati ya nyie wenyewe ili kushea huko kutokomee maana kupo na ni kitu hampendi.