Jodoki Kalimilo
JF-Expert Member
- Feb 12, 2012
- 12,013
- 10,170
Akinuna si ndo vizuri utakuwa umeepuka balaa la kufuatwa fuatwa maana kuna wengine hata umkatae vipi atakuja tu (ulitaka iweje hapo unless kama kuna mambo mengine ulikuwa unamshobokea sasa inakuwa inakuuma). Anaenuna ndio salama yako mwache anune kama mtakuwa mnaonana ipo siku atalegea mtakuwa kawaida na hakufuati tena. Kuna wengine anakuchekea tu hata kama umempiga kibuti na support anakupa kumbe nia bado ipo palepale alichofanya ni ku-change strategy na ku-apply formula ya SIZITAKI MBICHI HIZI mwisho wa siku wengine hu-win hivyo kama kweli humtaki heri huyo aliekununia maana amekuweka mbali nae