Swali kwa wanaume

Swali kwa wanaume

^^
Inategemea, kuna akina mimi hapa, ukikataa mi najua akunyimae mkopo amekupunguzia deni
^^
 
Hivi ni kwanini baadhi ya wanaume wakikutaka ukiwakatalia wanakununia na kuweka bifu?
Kwamimi naimani ukitongoza utegemee YES or NO (si kila unayemtongoza akubali)
Pia huwezi jua yule unayemtongoza akakukatalia anakuepusha na nini kwani siri ya mtu ni kichaka Pengine anaugonjwa hapendi kukuambukiza, pengine anamahusiano na mtu unayemjua nk...

Sielewi kwanini huwa wengi wao wanakasirika ..

Samahanini labda mnafahamu ni kwanini

Mi nadhani kama "wadada" wangekua wanazisema hizo sababu waziwazi na mapema wasingekua wananuniwa!! Lakini unakuta mtu anapewa moyo kwa mudaaaa halafu Ghafla anaambiwa NO.
 
uwe unajielewa si kuja kujisifu unanini? kuwa na hoja za singi nione kweli we ni kiongozi si unakuja unaishia kuimba wimbo i love u i love u if love is everything go and pay your bill with love ----kkkk........show me you have plan and vision si unakuja unajielezea oooh nimenunua gari oooh gari ipo garage oooh ma sister anaolewa loh sitaki mie kuchoshwa...

Nimekukubali dada, wewe utakua muwekezaji.
 
Mwanaume anatakiwa aone mwisho mwanzoni kabisaaaa!!! Kama ukimwangalia mwanamke huoni mwisho wa unachotaka kuanza usianze. Wanaume wamepewa hio ''instinct'' ya utambuzi na kuona mbali lijapo swala la wanawake. labda tu washindwe kuitumia wenyewe.

''Sometimes the slow movement of a tiger .. means a calculated accuracy'' Chui anajua ni wapi atembee, wapi alale na wapi akimbie na wapi akamate..kama huyu ni mnyama anaona mbali ivo... sembuse sisi wanaume tena wenye akili?.. mtu ukienda kama zuzu ukifikiri kila mwanamke ni sawa.. tegemea vya mbavu vya kutosha.

baelezeee bana
 
Hivi ni kwanini baadhi ya wanaume wakikutaka ukiwakatalia wanakununia na kuweka bifu?
Kwamimi naimani ukitongoza utegemee YES or NO (si kila unayemtongoza akubali)
Pia huwezi jua yule unayemtongoza akakukatalia anakuepusha na nini kwani siri ya mtu ni kichaka Pengine anaugonjwa hapendi kukuambukiza, pengine anamahusiano na mtu unayemjua nk...

Sielewi kwanini huwa wengi wao wanakasirika ..

Samahanini labda mnafahamu ni kwanini

Me naona haina haja. Ukinichomolea poa tu nasonga mbele, yanini kusumbuka na viumbe vilivyojaa duniani. Ila usitegemee kutakuwa na mda wa kuhang out kama awali. Hapo lazima nikupotezee, salamu inatosha halafu tunapishana njiani kila mtu na yake. Sasa ukihisi nimekununia shauri ako! Ila sijui kama kuna mtu anafurahia kutoswa?
 
You are very right Mkuu, Though our lives are full of risk (in layman's language Risk sums to likelihood of getting unwanted results) so apart from investments, all other involves risks as well. (kukataliwa, magonjwa, kufa, kukamatwa etc)

If you can't take Risk then your not a good investor.....
 
swali kwa wanaume gani? Maana mimi sijawahi kukataliwa labda kuwakataa Wanawake wanaonitongoza hata wikiendi hii kuna mdada anafanya kazi bank hapa mjini nimemwambia aniache tiyari nina mpenzi wangu yeye hataki kunielewa anasema yupo tiyari kushare na mimi simtaki ingawa kuna baadhi ya vidume vinamlia timing anawachomolea!!

Ushatoka songea
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom