Qualifier
JF-Expert Member
- Dec 14, 2012
- 1,252
- 408
Kinachowanunisha?! Si muumbe zenu
Mimi hua sinuni ila ninazidisha uple na upendo baadae anaingia kingi nikisha mgonga ninamuuliza kwanini alikuwa anakatalia
Kinachowanunisha?! Si muumbe zenu
Kinachowanunisha?! Si muumbe zenu
Unajuaje kama ninayo....kwani hiyo yako umeumba wewe?
Unajuaje kama ninayo....
Kinachowanunisha?! Si muumbe zenu
Hivi ni kwanini baadhi ya wanaume wakikutaka ukiwakatalia wanakununia na kuweka bifu?
Kwamimi naimani ukitongoza utegemee YES or NO (si kila unayemtongoza akubali)
Pia huwezi jua yule unayemtongoza akakukatalia anakuepusha na nini kwani siri ya mtu ni kichaka Pengine anaugonjwa hapendi kukuambukiza, pengine anamahusiano na mtu unayemjua nk...
Sielewi kwanini huwa wengi wao wanakasirika ..
Samahanini labda mnafahamu ni kwanini
hawatampunguza, ila watamjazia ashkiAchana nao wanune, wavimbe, wapasuke wanakupunguza nini kwani.....???
swali kwa wanaume gani? Maana mimi sijawahi kukataliwa labda kuwakataa Wanawake wanaonitongoza hata wikiendi hii kuna mdada anafanya kazi bank hapa mjini nimemwambia aniache tiyari nina mpenzi wangu yeye hataki kunielewa anasema yupo tiyari kushare na mimi simtaki ingawa kuna baadhi ya vidume vinamlia timing anawachomolea!!
Mwanaume anatakiwa aone mwisho mwanzoni kabisaaaa!!! Kama ukimwangalia mwanamke huoni mwisho wa unachotaka kuanza usianze. Wanaume wamepewa hio ''instinct'' ya utambuzi na kuona mbali lijapo swala la wanawake. labda tu washindwe kuitumia wenyewe.
''Sometimes the slow movement of a tiger .. means a calculated accuracy'' Chui anajua ni wapi atembee, wapi alale na wapi akimbie na wapi akamate..kama huyu ni mnyama anaona mbali ivo... sembuse sisi wanaume tena wenye akili?.. mtu ukienda kama zuzu ukifikiri kila mwanamke ni sawa.. tegemea vya mbavu vya kutosha.
Kwani we unatakajeee! Utunyime tukuchekee. Bifu bifu tu.
Nikanyage bahati mbaya nikuzabue makusudi!
Hili ni lamaana mkuu, yani m2 hajui amtongoze nan amuache nan? Hapa kukataliwa ni k2 kicichoepukika, unakuta mwanamke katongozwa na wanaume 5 kwa cku iv jaman unategemea amkubali nan na amuache nan? Hapo kumbuka c ww wa kwanza kukutana nae.
Mhh mkuu ukoje kwan hadi unakuwa marketable kiac icho, na mimi bac nkutongoze
hahahahahahahaha nimeshindwa la kukujibu...nahisi na wewe ulishakataliwa
khaaaaaaaaa....loading error...............Kinachowanunisha?! Si muumbe zenu
Hivi ni kwanini baadhi ya wanaume wakikutaka ukiwakatalia wanakununia na kuweka bifu?
Kwamimi naimani ukitongoza utegemee YES or NO (si kila unayemtongoza akubali)
Pia huwezi jua yule unayemtongoza akakukatalia anakuepusha na nini kwani siri ya mtu ni kichaka Pengine anaugonjwa hapendi kukuambukiza, pengine anamahusiano na mtu unayemjua nk...
Sielewi kwanini huwa wengi wao wanakasirika ..
Samahanini labda mnafahamu ni kwanini