Kandambilimbili
R I P
- Nov 11, 2008
- 782
- 38
Wanaume wenzangu, embu tujadiliane kuhusu hili swala ambalo kuna mdau aliliuliza kule kwenye blog ya kurekebisha tabia,lakini halikupewa majibu muafaka, sijui kwasababu wengi wenu ni wahanga au mnajidai hamjui.
Swala ambalo hata mimi huenda litakuja kunipa presha baadaye ni; "Jinsi gani unaweza kuondoa stress hasa ukikumbuka MKE uliyenaye hukumtoa bikira,na kuna lijamaa lilimshughulikia mkeo na pengine hata ti*O alipewa wakati wewe unajivunga hutaki na ni dhambi.
Mbaya zaidi unagundua huyo balazuli anali-ub*o wa kufa mtu.
anali-ub*o wa kufa mtu....... umejuaje? je na yeye akufikire nini kwani hajakukuta bikira? je wenzako wanakupoumulia mgongoni? mimi ni mwaume lakinia naona hapa ni nkudharauliana, labda unayo ya kwako wtafuta sehemu ya kupumulia, ni inferiority complkex au nini, mwenzetu inawezekana umenyimwa ub*o unayaogopa ya wenzio kwii kwiiii