Swali kwa Wanaume

Kama una bikra yako mumu nakukubalia tu kiroho safi,ila kama huna hata moja,hapo ni hell no!
 
Nitavunja mahusiano kwa sababu kwa sasa mambo ni mengi halafu muda ni mchache. MTU ameshavurugwa halafu anaanza kukuambia ooooh...no sex had ndoa. Ndoa zenyewe kama ni ya kikristo hapo umelamba dume na kumwacha ni shuguli. So kama umekumbana na hiyo changamoto pambana na hali yako. Saaaasawa kijana
 
Ni ngumu kutimiza hiyo uliyoweka kwenye mabano kama hujapiga...ni ngumu mnoo lazima upige kwanza ndio hapo unaanza kumpenda kwel au uongo uongo
 
Bila bikra hapana, unavumilia kumbe kuna lijamaa linaitwanga k kwa kukomoa kisa tu anaolewa. Cku ya ndoa unaimaliza na stress , ulitegemea ungekutana na kitu mnato lakini unakutana na k imelegea huku akiwa na nyege za cku tatu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…