Kama una bikra yako mumu nakukubalia tu kiroho safi,ila kama huna hata moja,hapo ni hell no!N'na swali dogo tuu....hivi umeanzisha mahusiano ya kimapenzi na mwanamke(unampenda kweli),na mwanamke huyo akakubali na kukupenda pia kwa moyo wote..lakini anakuambia "No Sex Before Marriage"....je,.utakubali au utavunja mahusiano???
Weekend Nono"..[emoji898][emoji485][emoji898]
Nitavunja mahusiano kwa sababu kwa sasa mambo ni mengi halafu muda ni mchache. MTU ameshavurugwa halafu anaanza kukuambia ooooh...no sex had ndoa. Ndoa zenyewe kama ni ya kikristo hapo umelamba dume na kumwacha ni shuguli. So kama umekumbana na hiyo changamoto pambana na hali yako. Saaaasawa kijanaN'na swali dogo tuu....hivi umeanzisha mahusiano ya kimapenzi na mwanamke(unampenda kweli),na mwanamke huyo akakubali na kukupenda pia kwa moyo wote..lakini anakuambia "No Sex Before Marriage"....je,.utakubali au utavunja mahusiano???
Weekend Nono"..[emoji898][emoji485][emoji898]
Nnazo zote JKama una bikra yako mumu nakukubalia tu kiroho safi,ila kama huna hata moja,hapo ni hell no!
Heheheheh labda kama umerenew,Nnazo zote J
On ma way kurNiko rumande asaivi kreti limeisha nakusubiri uje ku clear bill
😀😀nyooHeheheheh labda kama umerenew,
#btw nimekumiss EB njoo pm kwanza
Njoo bhana,nimekuletea zawadi ujue[emoji3][emoji3]nyoo
Hahaha kweli somo angusio kwa kizazi hiki ni ngumu sana
Ipi??Njoo bhana,nimekuletea zawadi ujue
Ipi??
🙄🙄🙄Njoo,utaiona
please mumu[emoji849][emoji849][emoji849]
Niambie kwanzaplease mumu
Mmh babe...😑Ni ngumu kutimiza hiyo uliyoweka kwenye mabano kama hujapiga...ni ngumu mnoo lazima upige kwanza ndio hapo unaanza kumpenda kwel au uongo uongo
LohNtakubali ila natafuta spare
Bila bikra hapana, unavumilia kumbe kuna lijamaa linaitwanga k kwa kukomoa kisa tu anaolewa. Cku ya ndoa unaimaliza na stress , ulitegemea ungekutana na kitu mnato lakini unakutana na k imelegea huku akiwa na nyege za cku tatu.N'na swali dogo tuu....hivi umeanzisha mahusiano ya kimapenzi na mwanamke(unampenda kweli),na mwanamke huyo akakubali na kukupenda pia kwa moyo wote..lakini anakuambia "No Sex Before Marriage"....je,.utakubali au utavunja mahusiano???
Weekend Nono"..🍾🍷🍾
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]Wanaume tunashuhudia mengi wewe....nlishawahi kukutana na K ina meno. Hiyo ndo siku niligundua nina kipaji cha riadha. Tena MARATHON...