Duuh!Mkuu umeongea Point kubwa sana..!!
Ukiona mwanamke unadate nae anakwambia No sex na sio Bikra walahi naapa kabisa KUNA MWANA ANAMLAAA...KUNA MSHKAJI ANAMGONGAA....KUNA MUHUNI ANAMTAFUNAA..!! Na wengi wao hujificha kwenye Kivuli cha dinii wangese sanaa... Huu umri huwezi niambia huoo upuuzi
Sasa kama bikra hana anaficha nini?hapo chenga kama mwanaume ana nia ya kumuoa atamuoa tu kumnyima penzi haisaidii.Sio bikira
Ukiona mwanamke anakwambia hvyo ujue kakudharau na huenda wew mwanamke uko juu kuliko yeye ki wadhifa,..yaan anaona kabisa wew ndo umemshobokea so anakwambia anachotakaN'na swali dogo tuu....hivi umeanzisha mahusiano ya kimapenzi na mwanamke(unampenda kweli),na mwanamke huyo akakubali na kukupenda pia kwa moyo wote..lakini anakuambia "No Sex Before Marriage"....je,.utakubali au utavunja mahusiano???
Weekend Nono"..
Hahaha chukua kreti zima mzee mwenzanguBalimi sijawahi ata kuinywa mm nakunywaga Eagle tu shilingi elfu 1 niagize ngapi utalipa?
SioKama Ni bikra sawa
Really?!Nitafanya haraka mchakato wa Kumuoa !!
Kama sio apambane na hali yake
Wapuuzi kama hao wapo wengi na wanawaibia sana wanaaDuuh!
Mwanangu umelenga mule mule yan
Mimi kuna roho inaniambia nifunge uzi niulize maswali kutokana na experince ya K, ka roho kengine kananiambia acha wewe bachelor utakosa mke 😂 😂Wanaume tunashuhudia mengi wewe....nlishawahi kukutana na K ina meno. Hiyo ndo siku niligundua nina kipaji cha riadha. Tena MARATHON...
Ndio kabisaReally?!
Hii weekend inayoanza namna hii...?? Mwisho wake ni uchomaji wa nyumba za ibada tu...
N'na swali dogo tuu....hivi umeanzisha mahusiano ya kimapenzi na mwanamke(unampenda kweli),na mwanamke huyo akakubali na kukupenda pia kwa moyo wote..lakini anakuambia "No Sex Before Marriage"....je,.utakubali au utavunja mahusiano???
Weekend Nono"..
Nishawahi pata mpuuzi mmoja wa aina hiyoo...Duuh!
Mwanangu umelenga mule mule yan
sio kwa kizazi hiki ni ngumu sanaN'na swali dogo tuu....hivi umeanzisha mahusiano ya kimapenzi na mwanamke(unampenda kweli),na mwanamke huyo akakubali na kukupenda pia kwa moyo wote..lakini anakuambia "No Sex Before Marriage"....je,.utakubali au utavunja mahusiano???
Weekend Nono"..🍾🍷🍾