Swali kwa Wanaume

Swali kwa Wanaume

N'na swali dogo tuu....hivi umeanzisha mahusiano ya kimapenzi na mwanamke(unampenda kweli),na mwanamke huyo akakubali na kukupenda pia kwa moyo wote..lakini anakuambia "No Sex Before Marriage"....je,.utakubali au utavunja mahusiano???

Weekend Nono"..🍾🍷🍾
Sasa hapo anakuwa amekubali au "anakufikiria"? Afu ukute hata bikira yenyewe ilishabomolewa

Yaani univulie chupi baada ya ndoa? Nikikuta huna K?

Mimi bhana ili nikuoe sio univulie chupi tu bali na mimba juu! Ndoa itafungwa ukiwa na mimba ya miezi 9 au mtoto kashazaliwa.
 
Sasa hapo anakuwa amekubali au "anakufikiria"? Afu ukute hata bikira yenyewe ilishabomolewa

Yaani univulie chupi baada ya ndoa? Nikikuta huna K?

Mimi bhana ili nikuoe sio univulie chupi tu bali na mimba juu! Ndoa itafungwa ukiwa na mimba ya miezi 9 au mtoto kashazaliwa.
Duuuh...babu jomonii k isiwepo??😂
 
Back
Top Bottom