unadhani naweza kukupa info zangu hapa wewe mbwa?...nimeolewa sijaolewa yanakuhusu nini kama sio ushamba unakumbua? utahangaika sana ila hutokaa unijuemimi siuzi, nanunua. endelea na ukahaba wako na usinifatefate tena wewe bibi kizee uliyekosa mume.
unadhani naweza kukupa info zangu hapa wewe mbwa?...nimeolewa sijaolewa yanakuhusu nini kama sio ushamba unakumbua? utahangaika sana ila hutokaa unijue
Mhudumuu,,leta one for the road.Watoto muda wetu wakulala umefika..hahahahaha stress freenilimpata ila ninamshare na mama yako
majanga ya kudate vitoto vya secondary.....hata mia tano ya soda tu ni maafa ukisema unataka wine si anakufa kabisa...nani anakunywa soda zenye sumu siku hizi?
Mpenzi wako anakutembelea Home kwa kustukiza.
mfukoni Una Mia sita Tu, unaamua kumchukulia cocacola moja ili asione kamahuna kitu.
Halafu wewe unaamua kuchukua chupa ya Sprite unajaza maji, yeye unampa ile Coca we
unakunywa zako maji kwenye ile chupa ya sprite (mpenzi wako anadhani unakunywa soda)
Wakati mkiendelea kunywa,mpenzi wako anakwambia mbadilishane vinywaji.....
Ukiwa kama mjanja, HUU MSALA UNAUSOVU VIPI?
Ya nini mtu udanganye hadi kwenye soda?
Yo vry rytUkiona una mpenzi ambae hauwezi kumuambia uko broke like an egyptian slave, ujue huyo sio mpenzio. Infact hata rafiki ambae siwezi nikamuambia im broke simuiti rafiki. Anakuwa mtu tu! Maisha ya kuigiza magumu sana!
????matumizi mabaya ya JF busara itawale wapendwa....akushindae kuongea mshinde kunyamazaunadhani naweza kukupa info zangu hapa wewe mbwa?...nimeolewa sijaolewa yanakuhusu nini kama sio ushamba unakumbua? utahangaika sana ila hutokaa unijue
Hahahahaha!!!Mpendwa hulaliii??????matumizi mabaya ya JF busara itawale wapendwa....akushindae kuongea mshinde kunyamaza