Mtoto halali na hela
JF-Expert Member
- Aug 10, 2012
- 53,246
- 50,468
Mpe yote
Kwahiyo madereva boda hawana haki ya kuhangaikiwaMpaka anahangaikiwa hivi sidhani kama ni dereva boda![]()



Tena frem ya miwani kweli imeharibika
Finaly nimepata solution
Asante sana

Wote tutakufaMnunulie SANDA muanze kujipanga sio kusumbua watu mkifa
Mnh mnh mnh.
Kama ni dereva wa boda apewe boksa na losheni tumechoka kuona tutako tumepauka na boksa zimechanika.





Kuliko kitoto wewefala sana wewe jamaa
Wanaume tumezaliwa kut...mb... Kwaiyo jaribu kufanya hivyoJinga sana wewe
Na pressure
BoksaZawadi gani nzuuri ya kumnunulia mpenzi wa kiume
Age 50plus
Nataka niwekeze kwenye mahusiano yangu mwaka huu maisha ni kuenjoy tu
Kama umelowa, acha uanikwe ili ukauke😂😂😂😂😂😂
Umeamua kunianika !?.
1. Angalia hobi zake. tembea humoNaombeni ushauri kweli ndugu zangu. Natamani mpenzi wangu afurahi sana potelea mbali
Tena frem ya miwani kweli imeharibika
Finaly nimepata solution
Asante sana
[/QUOTE
Siku akifia kifuani pia utuambie
Sii ununue gari yakoMnh mnh mnh.
Kama ni dereva wa boda apewe boksa na losheni tumechoka kuona tutako tumepauka na boksa zimechanika.
Mwanaume 50+ utavaaje boxer! Unavaa chupi



kwaiyo mkifika 50+ size za boxer zinapotea au