Swali kwa Wana-JF

Keren_Happuch

JF-Expert Member
Jan 14, 2011
1,874
935
Jamani mimi nimekuwa nikijiuliza hili swali:
Hivi mtu anapoleta shida yake hapa jamvini...hasa inapomhusu partner wake, ni kwamba huyo partner wake yeye huwa hatembelei maeneo haya ya JF??? Maana jinsi wahusika wanavyo elezea the whole situation, inakuwa so detail! mbona inakuwa rahisi kwa partner kujua kwamba hii inafanana na ya nyumbani kwake? Je, hauoni kuwa unaweza ukasababisha kukosekana kwa amani nyumbani , partner wako akianza kuhisi kuwa umesimulia jamii matatizo yake??

Nyie mnasemaje hapo?

 
Inategemea kama wanajuana hapa. Lakini pia stories nyingi zinazojadiliwa hapa sio unique. Zinawakumba watu wengi tuu na solutions nyingi zinazotolewa mara nyingi ni applicable kwa kila mtu. Lakini kama mtu akiwa so explicit then, ni rahisi kwa partner wake kuhisi. Kama kuna thread moja niliyochangia ambapo aliyeanzisha thread ametaja sehemu, watu wanahusika na kazi zao, hali zao kifedha, events zilizowatokea wahusika siku za hivi karibuni. Hapo ni rahisi kuhisi. Kitu kinachoniboa unakuta mtu anatoa mada halafu anajifanya aliyepatwa na tukio ni mtu mwingine, kama rafiki yake, wakati usoma sentense zake unajua tuu tukio limemtokea yeye mwenyewe.
 
Mara nyingi tu mimi nimehitimisha hivyo kwamba partner anayeandikwa kama anaingia huku atajijua kwamba mwenzake kaja kumchora huku. Kwa mfano yule anayependa perfume za mwenzie na hata hununua perfume za kike kama huwa anaingia huku atajifahamu tu kwamba kachorwa kwenye jamvi.
 
mmmhh kwa kweli mie naona ni vigumu kumfaham partner wako ka yuko humu..
kwani nafikiri wanaotoa hizo poster/thread lazima wa chakachue kidogo ili hata huyu
partner akiona asisisimke sana...
na utakuta anajiita jina la ajabu ... mie na dhani kuna namna watu ambao sio single wanaitumia
ili wasijulikane..
 
mmmhh kwa kweli mie naona ni vigumu kumfaham partner wako ka yuko humu..
kwani nafikiri wanaotoa hizo poster/thread lazima wa chakachue kidogo ili hata huyu
partner akiona asisisimke sana...
na utakuta anajiita jina la ajabu ... mie na dhani kuna namna watu ambao sio single wanaitumia
ili wasijulikane..

kumbe huwa hunijui eeeh
 
mimi wangu nilimuuliza vp upo jeiefu akasema no no no. Na muda mwingi niponae hapendi ku.surf kiiivyo. So mie niko huru mwenzenu.,,
 
mimi sioni tatizo hata kama akijua, ili mradi hukuwa na nia mbaya. hata akikasirika mtaeleweshana tu na mtayaaliza tu manake hakuna mwigine anayejua. mfano mimi majuzi nilieleza kisa fulani na nikasema kimenipa furaha kubwa sana siku ile na nilimjulisha mhusika na nikamwomba afungue Jf ili aone mwenyewe watu wanvyochangia na alifungua na alifurahi sana. japo kulikuwa na post alitaka nimweleweshe zaidi na nilifanya hivyo bila tatizo na alinielewa.

tatizo watu wengi si wawazi. kama kweli mna matatizo na partner wako unashindwa nini kukubaliana naye mlete hapa tatizo lenu huku wote mkijua tena ikiwezekana muwe mnafuatilia majadildiano mkiwa mmekaa pamoja ili kupata instant reactions za watu? au kama mmoja ameleta amjulishe mwenzie naye afuatilie kwa wakati wake au kama yuko bize, aprint posts za wachangiaji kwa mtililiko mzima ampelekee naye asome. hapo ndipo forum hii itakuwa na maana vinginevyo tutaishia kuchangia mawazo mazuri tu lakini hayawafaidishi watu
 
kumbe huwa hunijui eeeh

duuuhh kwanza kabisa ngoja nikupongeze kwa kufikisha poster 3000..


mmhhhh mie kweli sifuatiliagi nani ni nani ....
hahahah lol
lakini ntaachaje kukujua we jirani wangu wa
mitaa hii karibu na kwangu hahahah lol
 
Asanteni kwa mawazo yenu. Ni kweli matatizo yanaweza yakawa yanafanana kwa wengi, ila kuna wengine kweli wanatoa detail za kutosha kabisa kujua hapa ni mimi nasemwa! Na sio rahisi kubadilika kwa haraka hivyo, kwamba umemuanika hapa jamvini akajiona then ajirekebishe!!?? sina uhakika kwa kweli!
Ila mimi ninavyofikiri na kuamini, ukiona partner wako ana tatizo kwanini usimwambie, ili mjaribu kutatua tatizo kwa pamoja na kutafuta ushauri kwa wengine???! Ninaamini katika mawasiliano ya pamoja, yanapelekea kujenga upendo zaidi na kuaminiana kuliko kupelekea jamii kwanza!!!
 
mimi sioni tatizo hata kama akijua, ili mradi hukuwa na nia mbaya. hata akikasirika mtaeleweshana tu na mtayaaliza tu manake hakuna mwigine anayejua. mfano mimi majuzi nilieleza kisa fulani na nikasema kimenipa furaha kubwa sana siku ile na nilimjulisha mhusika na nikamwomba afungue Jf ili aone mwenyewe watu wanvyochangia na alifungua na alifurahi sana. japo kulikuwa na post alitaka nimweleweshe zaidi na nilifanya hivyo bila tatizo na alinielewa.

tatizo watu wengi si wawazi. kama kweli mna matatizo na partner wako unashindwa nini kukubaliana naye mlete hapa tatizo lenu huku wote mkijua tena ikiwezekana muwe mnafuatilia majadildiano mkiwa mmekaa pamoja ili kupata instant reactions za watu? au kama mmoja ameleta amjulishe mwenzie naye afuatilie kwa wakati wake au kama yuko bize, aprint posts za wachangiaji kwa mtililiko mzima ampelekee naye asome. hapo ndipo forum hii itakuwa na maana vinginevyo tutaishia kuchangia mawazo mazuri tu lakini hayawafaidishi watu

Hapo kidogooo..........Mambo huwa hivi, jambo huzungumzwa kwenye Mto(Pillow) kwanza, yakishindikana....ndo sisi akina yakhe twatupiwa tusaidie ama tumalize, au sioo?????
 
Usiogope, kama ww una bomu unataka kulishusha kuhusu partner wako shusha hatutamwambia kuwa ni ww umetuminyia hiyo siri, ila vipande vyake atavipata na lazima ajirekebishe kwa kujihisi tu.
 
mimi sioni tatizo hata kama akijua, ili mradi hukuwa na nia mbaya. hata akikasirika mtaeleweshana tu na mtayaaliza tu manake hakuna mwigine anayejua. mfano mimi majuzi nilieleza kisa fulani na nikasema kimenipa furaha kubwa sana siku ile na nilimjulisha mhusika na nikamwomba afungue Jf ili aone mwenyewe watu wanvyochangia na alifungua na alifurahi sana. japo kulikuwa na post alitaka nimweleweshe zaidi na nilifanya hivyo bila tatizo na alinielewa.

tatizo watu wengi si wawazi. kama kweli mna matatizo na partner wako unashindwa nini kukubaliana naye mlete hapa tatizo lenu huku wote mkijua tena ikiwezekana muwe mnafuatilia majadildiano mkiwa mmekaa pamoja ili kupata instant reactions za watu? au kama mmoja ameleta amjulishe mwenzie naye afuatilie kwa wakati wake au kama yuko bize, aprint posts za wachangiaji kwa mtililiko mzima ampelekee naye asome. hapo ndipo forum hii itakuwa na maana vinginevyo tutaishia kuchangia mawazo mazuri tu lakini hayawafaidishi watu

Ni kweli kabisa Miss Judith, hata na mimi nafikiri watu waelezane matatizo yao nyumbani kwanza, then ndo watoke nje kutafuta ushauri kwa pamoja!
 
Usiogope, kama ww una bomu unataka kulishusha kuhusu partner wako shusha hatutamwambia kuwa ni ww umetuminyia hiyo siri, ila vipande vyake atavipata na lazima ajirekebishe kwa kujihisi tu.

Kama litakuwepo tatizo basi nitaanza kumweleza kwanza yeye, then tutashauriana wapi tufatute msaada, Kama ni hapa JF basi tutakuja!
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Jamani mimi nimekuwa nikijiuliza hili swali:
Hivi mtu anapoleta shida yake hapa jamvini...hasa inapomhusu partner wake, ni kwamba huyo partner wake yeye huwa hatembelei maeneo haya ya JF??? Maana jinsi wahusika wanavyo elezea the whole situation, inakuwa so detail! mbona inakuwa rahisi kwa partner kujua kwamba hii inafanana na ya nyumbani kwake? Je, hauoni kuwa unaweza ukasababisha kukosekana kwa amani nyumbani , partner wako akianza kuhisi kuwa umesimulia jamii matatizo yake??

Nyie mnasemaje hapo?


Jaman hii ni kweli me nilimwaga mada hapa jamvini, ex wangu akanicall y namwaga mambo jamvini? Alinipm kwa jina la kjf bila kumjua nikampa information. Sasa yamefika kwa mshenga na wajomba. Full kulaumiwa na familia.
 
Asanteni kwa mawazo yenu. Ni kweli matatizo yanaweza yakawa yanafanana kwa wengi, ila kuna wengine kweli wanatoa detail za kutosha kabisa kujua hapa ni mimi nasemwa! Na sio rahisi kubadilika kwa haraka hivyo, kwamba umemuanika hapa jamvini akajiona then ajirekebishe!!?? sina uhakika kwa kweli!
Ila mimi ninavyofikiri na kuamini, ukiona partner wako ana tatizo kwanini usimwambie, ili mjaribu kutatua tatizo kwa pamoja na kutafuta ushauri kwa wengine???! Ninaamini katika mawasiliano ya pamoja, yanapelekea kujenga upendo zaidi na kuaminiana kuliko kupelekea jamii kwanza!!!

logo.gif

Dada yangu, huipati kwingine hii!!! Solutions zipo hapa, Utapopeleka kwa watu ndio unajichora zaidi.
 
Jaman hii ni kweli me nilimwaga mada hapa jamvini, ex wangu akanicall y namwaga mambo jamvini? Alinipm kwa jina la kjf bila kumjua nikampa information. Sasa yamefika kwa mshenga na wajomba. Full kulaumiwa na familia.

We ulileta stori? au ulimchana live? Huko kwa mshenga na wajomba ndio kaenda kujichora.
 
Back
Top Bottom