meddie
JF-Expert Member
- Oct 21, 2010
- 434
- 125
Kwa kutumia busara nyepesi nyepesi, hivi haya yote yanayotokea ikiwemo;
Je nibusara raisi na jemedari mkuu wetu kuendelea na ziara ya kutembelea na kushangaa kasri ya mfalme wa omani na kutembelea miskiti huko omani. Je tunahitaji wachuuzi kutoka omani kiasi hicho? Je nijambo gani litokee hili raisi akatize safari yake na kurudi?
- kuuwawa kwa RPC mwanza,
- Kuchomwa kwa makanisa na mauajaji mbagala,
- vurugu za kukamatwa muhuni ponda,
- Vurugu zanzibar na
- kuuwawa na kuchinjwa kwa askari
- Kutangazwa kwa baa la njaa
Je nibusara raisi na jemedari mkuu wetu kuendelea na ziara ya kutembelea na kushangaa kasri ya mfalme wa omani na kutembelea miskiti huko omani. Je tunahitaji wachuuzi kutoka omani kiasi hicho? Je nijambo gani litokee hili raisi akatize safari yake na kurudi?