Swali kwa wadada, hivi mnaweza kuwa na mahusiano au ndoa na mwanaume ambaye hana hela?

Huu upuuzi wa pesa umeanzishwa na wanaume madomo zege na wazee, hawa mabinti wameingizwa tu kwenye mfumo na wamefit kwelikweli.

Tuache upumbavu wa kuwaharibu hawa mabinti kiakili kwa pesa, tunatengeneza malaya wa kutosha tu.

Unakutana na binti na udomo zege wako unamjaza mihela nayeye anazoea, mkiachana unadhani atamkubali asiye na kitu?? Itabidi yeye ndo aanze kuwawinda wenye pesa ili aendelee kuishi maisha yapesa ulokuwa unampa( huyu tayari keshakuwa malaya)
 
Huu upuuzi wa pesa umeanzishwa na wanaume madomo zege na wazee, hawa mabinti wameingizwa tu kwenye mfumo na wamefit kwelikweli.

Tuache upumbavu wa kuwaharibu hawa mabinti kiakili kwa pesa, tunatengeneza malaya wa kutosha tu.

Unakutana na binti na udomo zege wako unamjaza mihela nayeye anazoea, mkiachana unadhani atamkubali asiye na kitu?? Itabidi yeye ndo aanze kuwawinda wenye pesa ili aendelee kuishi maisha yapesa ulokuwa unampa( huyu tayari keshakuwa malaya)
Duuh hatari sana!


#nyumayapazia
 
Back
Top Bottom