Rayvanny wa jamiiForums
Senior Member
- Apr 7, 2023
- 132
- 347
Hebu sema ukweli wako, hivi wadada mnaweza kuwa na mahusiano au ndoa na mwanaume ambaye hana hela?
#nyumayapazia
#nyumayapazia
Utapataje mahitaji bila pesa au utakuwa unafanya batter trade?Hebu sema ukweli wako, hivi wadada mnaweza kuwa na mahusiano au ndoa na mwanaume ambaye hana hela?
#nyumayapazia
Duuh hatari sana!Huu upuuzi wa pesa umeanzishwa na wanaume madomo zege na wazee, hawa mabinti wameingizwa tu kwenye mfumo na wamefit kwelikweli.
Tuache upumbavu wa kuwaharibu hawa mabinti kiakili kwa pesa, tunatengeneza malaya wa kutosha tu.
Unakutana na binti na udomo zege wako unamjaza mihela nayeye anazoea, mkiachana unadhani atamkubali asiye na kitu?? Itabidi yeye ndo aanze kuwawinda wenye pesa ili aendelee kuishi maisha yapesa ulokuwa unampa( huyu tayari keshakuwa malaya)
DuuhHawawezi mkuu, ukitaka kuamini we yumba kiuchumi utaachwa mchana kweupe tu
Wahusika wengi watapita kimya kimya tu hapa..Hebu sema ukweli wako, hivi wadada mnaweza kuwa na mahusiano au ndoa na mwanaume ambaye hana hela?
#nyumayapazia
Na mlivyo faulu vzuri kozi ya kujishtukia 🤣Wapo ila Kuna kipindi inabidi we uvumilie, mwanaume ukiwa huna Hela inabidi ujitahidi usimkosee mke wako au mke, ukikosea kidogo tu utasikia mtu mwenyewe nakuvumilia tu
Filisika tujue tabia ya mke wako.Hebu sema ukweli wako, hivi wadada mnaweza kuwa na mahusiano au ndoa na mwanaume ambaye hana hela?
#nyumayapazia
Hili swali linawahusu wanawake sio sisi wanaume
Filisika tujue tabia ya mke wako.