KOMBAJR
JF-Expert Member
- Nov 15, 2011
- 5,827
- 1,271
- Thread starter
- #21
Jibu moja linatosha kwa maswali yote. Nalo ni kujiuzulu kama ishara ya uwajibikaji kwa kushindwa kutekeleza majukumu yake. Hivi ni kwa nini Watz ni wepesi kushindwa lakini wagumu kukubali matokeo?
Mkuu ur so fast .....hilo lilikuwa lifuate baada ya majibu kama itaonekana inafaa kwa manufaa ya umma.