Lyamber
JF-Expert Member
- Jul 24, 2012
- 11,716
- 18,753
Kwenye ilani ya CCM hakuna kujenga uwanja wa ndege chato, kununua ndege,kujenga flyover wala Stieglers Gorge..Nitajie tu ukurasa unaonesha hivyo, ninayo hapa hapa mkuu!
Kwa ufupi hua ni hivi, hakuna raisi kutoka ccm aliyetekeleza ILANI ya uchaguzi kwenye kipindi chake cha kwanza cause yeye hua sio part ya team inayo andaa ILANI hiyo, Mkapa alilalamika hadharani mwaka 1997 kwamba ILANI ile ilikua haitekelezeki, haikuzungumzia chochote kuhusu barabara yeye akakomaa na mabarabara nk, mwaka 2006 JK nae aliilalamikia ILANi yake ya mwaka 2005 tena akiwa kanisani na hasa kuhusu ile kitu inaitwa Kadhi wa Waislamu na akasema kabisa yeye hakua member we team ilio andaa ilani ile so hata hi, mambo ya ndege, Stigles Gorge (sina hakika kama nimepatia spelling) na hayo mafly over sijui nini, hayapo mle.