Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
Mod Naomba Msiunganishe Thread hii inaumuhimu wake maana nimaswali yanayoulizwa
Ndugu wadau leo kuna swali ambalo tunategemea majibu kutoka kwa Mhe Rais
Tumeona katimu Mkuu wa chama cha mapinduzi akitembea kila mkoa kwenye mikutano ya ndani na hadharani pamoja na katibu mwenezi wa chama cha mapinduzi Hephrey Polepole lakini hakuna anayesema, kuwagusa wala kuwakemea. Watu wote na viongozi wote wapo kimya kama hakuna kinachoendelea.
Kwenye upande wa pili wa chama cha Upinzani Tanzania Chadema Katibu wake Mkuu Vicent Mashinji akiwa kwenye vikao vya ndani vya chama chake tumeona anavyokamatwa na polisi na kuzuiwa pamoja na viongozi wengine wa Chama hicho kikubwa hapa nchini
Swali
1)Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi pamoja na Mwenezi wa ccm Polepole wao niwabunge wa Jimbo gani na Chama Gani? je Tunamuongopea Mungu au Binadamu? Je Tundu Antipas Mugwai Lissu akiambia Dunia kuwa hakuna Demokrasia Tanzania anakosa gani? Je umeshangamua kuwa Dunia sasa hivi nikijiji kila ukifanyacho kinaonekana nisawa na kila Ukipandacho ndio utakachovuna?
2) Mkuu wa wilaya, Mkuu wa Mkoa, Mkurugenzi, watendaji wa kata na watarafa hao wote niwanachama na viongozi wa ccm bahadhi je hawatoshi huko majimboni mpaka hao wawili polepole na Bashiru wazunguke je hizi si fujo kwenye majimbo yawapinzani?
Mfano uliyo hai: Tukumbuke Mbunge wa Jimbo hili ni Godbless J. Lema je hizi si fujo jimboni kwa Lema ambapo ccm wanaleta?
Ndugu Denis Zakariah Katibu wa CCM Wilaya ya Arusha akisikiliza kero za wafanyabiashara wa soko la kilombero leo .Hapa kazi tu.
Ndugu wadau leo kuna swali ambalo tunategemea majibu kutoka kwa Mhe Rais
Tumeona katimu Mkuu wa chama cha mapinduzi akitembea kila mkoa kwenye mikutano ya ndani na hadharani pamoja na katibu mwenezi wa chama cha mapinduzi Hephrey Polepole lakini hakuna anayesema, kuwagusa wala kuwakemea. Watu wote na viongozi wote wapo kimya kama hakuna kinachoendelea.
Kwenye upande wa pili wa chama cha Upinzani Tanzania Chadema Katibu wake Mkuu Vicent Mashinji akiwa kwenye vikao vya ndani vya chama chake tumeona anavyokamatwa na polisi na kuzuiwa pamoja na viongozi wengine wa Chama hicho kikubwa hapa nchini
Swali
1)Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi pamoja na Mwenezi wa ccm Polepole wao niwabunge wa Jimbo gani na Chama Gani? je Tunamuongopea Mungu au Binadamu? Je Tundu Antipas Mugwai Lissu akiambia Dunia kuwa hakuna Demokrasia Tanzania anakosa gani? Je umeshangamua kuwa Dunia sasa hivi nikijiji kila ukifanyacho kinaonekana nisawa na kila Ukipandacho ndio utakachovuna?
2) Mkuu wa wilaya, Mkuu wa Mkoa, Mkurugenzi, watendaji wa kata na watarafa hao wote niwanachama na viongozi wa ccm bahadhi je hawatoshi huko majimboni mpaka hao wawili polepole na Bashiru wazunguke je hizi si fujo kwenye majimbo yawapinzani?
Mfano uliyo hai: Tukumbuke Mbunge wa Jimbo hili ni Godbless J. Lema je hizi si fujo jimboni kwa Lema ambapo ccm wanaleta?
Ndugu Denis Zakariah Katibu wa CCM Wilaya ya Arusha akisikiliza kero za wafanyabiashara wa soko la kilombero leo .Hapa kazi tu.