Ndachuwa
JF-Expert Member
- Mar 8, 2006
- 6,269
- 4,562
Mh. Ole Medee wengi wa wapiga kura wako hawatakuelewa kama hutamuuliza waziri katika kipindi cha maswali ya hapo kwa hapo swali lifuatalo.
Mh. Waziri Mkuu, mwaka huu Halmashauri ya Arusha vijijini imekuwa ikifanya jitahada za kuwapatia wananchi viwanja vilivyopimwa na tayari viwanja vimetolewa katika maeneo ya Gomba Estates na Burka, naipongeza serikali kwa jitihada hizo; swali
1. Hivyo viwanja ni kwa ajili ya Watanzania wote au ni kwa ajili ya kundi dogo lenye uwezo wa kifedha kwani bei za kiwanja inaanzia TShs. 4,000,000 hadi 32,000,000 pesa ambayo hata mfanyakazi wa serikali hawezi kumudu.
2. Pale ambapo waombaji ni wengi kuliko viwanja vilivyopo (mfano Burka) ni utaratibu gani unatumika ili kutoa haki/nafasi kwa kila mwombaji pasipo kubagua? Na Jee wote waliolipia viwanja wametumia majina yao halisi?
Mh. Waziri Mkuu, mwaka huu Halmashauri ya Arusha vijijini imekuwa ikifanya jitahada za kuwapatia wananchi viwanja vilivyopimwa na tayari viwanja vimetolewa katika maeneo ya Gomba Estates na Burka, naipongeza serikali kwa jitihada hizo; swali
1. Hivyo viwanja ni kwa ajili ya Watanzania wote au ni kwa ajili ya kundi dogo lenye uwezo wa kifedha kwani bei za kiwanja inaanzia TShs. 4,000,000 hadi 32,000,000 pesa ambayo hata mfanyakazi wa serikali hawezi kumudu.
2. Pale ambapo waombaji ni wengi kuliko viwanja vilivyopo (mfano Burka) ni utaratibu gani unatumika ili kutoa haki/nafasi kwa kila mwombaji pasipo kubagua? Na Jee wote waliolipia viwanja wametumia majina yao halisi?