kachumbari
Senior Member
- Nov 1, 2010
- 125
- 8
Hivi ni kweli benki hii inawakopesha fedha za kufanyia kazi bila dhamana kwa suppliers wenye L.P.O Kutoka Serikalini au Makampuni ya uhakika Waislamu kuliko Wakristu eti kwasababu waislamu ni waaminifu zaidi kuliko Wakristu? Naomba kuwasilisha hoja....!