Swali kwa Jeshi letu pale Kawe

Swali kwa Jeshi letu pale Kawe

uttoh2002

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2012
Posts
19,703
Reaction score
37,930
Habari ndugu zangu!

Nina miaka mingi sana nimekuwa mtumiaji wa Barabara ya kawe, Kuna jambo moja silielewi na Lina mda mrefu sana.

Kuna Kisima pale cha Maji, kwa juu Pana mpira unapoteza Maji miaka nenda rudi, kila nikipita pale huwa unanifikirisha sana kwa kweli.

Kwa shida ya Maji ya Dar es salaam na Yale maji yanayomwagika, nawauliza ndugu zangu, hakuna namna ya kurekebisha pale?
 
😁😁😁😁😁😁😁 nilipitaga 2021 nikaliona ,,mpk Leo Bado linamwagaa tu
 
Back
Top Bottom