samubagula
Member
- Jun 24, 2013
- 89
- 4
Wadau naomba kujuzwa kuhusu kakonko miundo mbinu, umeme, huduma za afya.
asante mkuuPako poa tu mdau miundombinu ya kawaida barabara vumbi lakini zinapitika vyema, security ki mtindo imetulia mji uko baridaa in short... umeme sidhani kama umemshuka pale japo solar zinawakilisha tokea kitambo..mi last time mwaka jana nilikuwa mitaa ile. Fika ujionee mwenyewe si mbali sana kutokea nyakanazi na wala ai mbali na kibondo.
Wadau naomba kujuzwa kuhusu kakonko miundo mbinu, umeme, huduma za afya.
Vipi wana Kakonko kunaendeleaje sasa.
#MaendeleoHayanaChama
Sent from my SM-A207F using JamiiForums mobile app



mtoa mada yupo kakonko afu hakuna networkTupe mrejesho...mana tangu umeenda huko ni muda sasa.Wadau naomba kujuzwa kuhusu kakonko miundo mbinu, umeme, huduma za afya.