Nimesikia kuwa TRA wanachaji full ushuru wa magari ya PERSONAL EFFECT yaliyozidi zaidi ya miaka kumi. Nijuavyo mimi ni kuwa unalipa tu kodi ya uchakavu. Naomba watu wenye taarifa kamili watujulishe kama hii ni kweli. Natanguliza shukrani
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.