911
Platinum Member
- Aug 22, 2008
- 852
- 499
Wasalaam wadau,
nimekaa nikajiuliza sana kuhusu suala la uchongaji wa mihuri unaofanyika hapa Tanzania.Ningeomba wenye ufahamu wanieleweshe kama kuna sheria inayodhibiti uchongaji huu ninaouita holela.Kwani kwa sasa unaweza ukaenda kwa mchonga mihuri ukamwambia kuwa nahitaji muhuri wenye maandishi unayoyataka nae akauchonga bila kukuuliza mara mbili.Sijui katika nchi nyingine jambo hili likoje.
Kilichoamsha ari yangu ya kufahamu haya ni kuwa ilipelekwa bank cheque ya organization flan bank(names withheld) kwa ajili
ya kutoa hela kwenye akaunti ya org hiyo,ila ktk cheque kulikuwa na muhuri wa staff wa hyo org ambaye ni top level manager.Bank wakakataa kutoa hela kwa madai kuwa anayetakiwa kutoa idhini ya kuchukua hela ni manager wa level flani(kwa madai kuwa ndie signatory).Kilichofanyika ni kuwa ukachongwa muhuri unaohtajika then mambo yakawa shwari.Ndipo nikajiuliza kuhusu suala hili la mihuri.
nimekaa nikajiuliza sana kuhusu suala la uchongaji wa mihuri unaofanyika hapa Tanzania.Ningeomba wenye ufahamu wanieleweshe kama kuna sheria inayodhibiti uchongaji huu ninaouita holela.Kwani kwa sasa unaweza ukaenda kwa mchonga mihuri ukamwambia kuwa nahitaji muhuri wenye maandishi unayoyataka nae akauchonga bila kukuuliza mara mbili.Sijui katika nchi nyingine jambo hili likoje.
Kilichoamsha ari yangu ya kufahamu haya ni kuwa ilipelekwa bank cheque ya organization flan bank(names withheld) kwa ajili
ya kutoa hela kwenye akaunti ya org hiyo,ila ktk cheque kulikuwa na muhuri wa staff wa hyo org ambaye ni top level manager.Bank wakakataa kutoa hela kwa madai kuwa anayetakiwa kutoa idhini ya kuchukua hela ni manager wa level flani(kwa madai kuwa ndie signatory).Kilichofanyika ni kuwa ukachongwa muhuri unaohtajika then mambo yakawa shwari.Ndipo nikajiuliza kuhusu suala hili la mihuri.