Swali kuhusu makampuni yanayotoa viwanja

Swali kuhusu makampuni yanayotoa viwanja

mishe bwoy

Senior Member
Joined
Oct 26, 2014
Posts
116
Reaction score
34
Habari wakuu!!
Naomba kuuliza haya makampuni yaliokithiri kila kona siku za karibuni
Yanatoa viwanja na mashamba kwa kulipa kidogo kidogo,,yan ukweli ndani yake??kuna mtu alishajaribu,,maana hadi saba saba walikuwepo na mabanda yao ila bado roho inasita ila wamenitamanisha,eb funguken wakuu tusije pigwa ivi ivi!
 
Habari wakuu!!
Naomba kuuliza haya makampuni yaliokithiri kila kona siku za karibuni
Yanatoa viwanja na mashamba kwa kulipa kidogo kidogo,,yan ukweli ndani yake??kuna mtu alishajaribu,,maana hadi saba saba walikuwepo na mabanda yao ila bado roho inasita ila wamenitamanisha,eb funguken wakuu tusije pigwa ivi ivi!
Yapo na ni makampuni Halali, ukienda wizara ya Ardhi utapata uthibitisho. Kama kweli Unataka viwanja watafute.
 
Ni ya kweli..mtaan kwetu pale wapo watu wamenunua viwanja kupitia kwao na sijawahi sikia malalamiko yeyote
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom