Uncle Rukus
JF-Expert Member
- Jun 16, 2010
- 2,415
- 398
Mkuu hii 400MB ina limitation gani kwenye muda wa matumizi? Inatakiwa itumike katika muda gani, mm nina modem ya Airtel ila napata shida sana na hizi package zao za siku & wiki!
Package ya 400mb inatakiwa kutumika ndani ya siku 30, ikiisha kabla unaweza kuongeza nyingine, pia kama matumizi yako ya mtandao siyo makubwa unaweza kutumia mwezi mzima.