Shabdullah
Member
- Feb 17, 2020
- 65
- 52
Habari zenu wakubwa na wadogo zangu.
Naomba niende moja kwa moja kwenye swali/maswali..
Kisheria: Je mwanamke anaweza kuingia hatiani kwa kosa la kutoa mimba bila ya sababu ya msingi/inayokubalika kisheria?
Na
Kama ni kosa je adhabu yake ni nini?
Kwa wanaojua wanifafanulie.
Naomba niende moja kwa moja kwenye swali/maswali..
Kisheria: Je mwanamke anaweza kuingia hatiani kwa kosa la kutoa mimba bila ya sababu ya msingi/inayokubalika kisheria?
Na
Kama ni kosa je adhabu yake ni nini?
Kwa wanaojua wanifafanulie.