Samcezar
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 13,096
- 22,627
Adam alikutana na Lucifer bustani ya eden sio duniani, naomba tuelewane kwanza hadi hapo.
Na kuhusu nani alikuwa wa kwanza hapo bustanini au nani alianza kuwapo kabla ya mwenzake, Lucifer kabla hajawa shetani wa leo, alikuwa ni kiongozi wa malaika wote huko mbinguni. Alikuwa ni malaika mwenye cheo cha juu sana na mkuu wa majeshi ya malaika.
Baada ya kumzingua mshua ndio akanyang'anywa vyeo vyote na kutupiwa katika uvungu wa ardhi na kufungwa minyororo ambayo sasa hivi binadamu kupitia matendo yetu mnamsaidia kila siku kupata nguvu za kuikata hiyo minyororo na kurejea hapa ulimwenguni kufanya uharibifu wake live bila chenga.
Na kuhusu nani alikuwa wa kwanza hapo bustanini au nani alianza kuwapo kabla ya mwenzake, Lucifer kabla hajawa shetani wa leo, alikuwa ni kiongozi wa malaika wote huko mbinguni. Alikuwa ni malaika mwenye cheo cha juu sana na mkuu wa majeshi ya malaika.
Baada ya kumzingua mshua ndio akanyang'anywa vyeo vyote na kutupiwa katika uvungu wa ardhi na kufungwa minyororo ambayo sasa hivi binadamu kupitia matendo yetu mnamsaidia kila siku kupata nguvu za kuikata hiyo minyororo na kurejea hapa ulimwenguni kufanya uharibifu wake live bila chenga.