Kuumbwa Ibili (Shetani ) ni wa kwanza kabla ya Adam, ila kuja duniani walikuja kwa wakati mmoja baada ya wote kufukuzwa kutoka bustani ya Edeni.
USHAHUDI
KUUMBWA KWA ADAM (2:30 QUR AN) "( Wakumbushe watu khabari hii) Wkati mola wako alipowaambia malaika, Mimi nitaleta viumbe vingine kukaa katika ardhi, (Nao ndio wanadam) wakasema (malaika) utaweka humo watakaofanya uharibifu humo na kumwaga damu hali sisi tunakutukuza kwa sifa zako na kukutaja kwa utakatifu wako? Akasema (Mwenyezi Mungu) Hakika mimi nayajua msiyoyajua."
IBILISI ALIKUWEPO KABLA YA ADAM (2:34 QUR AN) "Na (wakumbushe watu khabari hii) Tulipo waambia malaika Msujudieni Adam ( Yaani mwadhimisheni kwa ile elimu yake aliyopewa). Wakmsujudia wote isipokuwa IBILISI akakataa na akajivuna na (Tokea hapo) alikuwa katika makafiri, (Ila alichanganyika tu na malaika) "
KUINGIA DUNIANI ( 2:36 QUR AN) " (Lakini) Shetani ( Yule IBILISI adui yao) aliwatelezesha wote wawili ( Wkakhalifu amri ile, wakala katika mti huo waliokatazwa) na akwatoa katika ile (hali) waliyokuwa nayo. Tukawaambia Nendeni hali ya kuwa maadui nyinyi kwa nyinyi , na makazi yenu (sasa) katika ardhi na (mtapata) starehe humo kwa muda (makhususi)."
USHAHUDI
KUUMBWA KWA ADAM (2:30 QUR AN) "( Wakumbushe watu khabari hii) Wkati mola wako alipowaambia malaika, Mimi nitaleta viumbe vingine kukaa katika ardhi, (Nao ndio wanadam) wakasema (malaika) utaweka humo watakaofanya uharibifu humo na kumwaga damu hali sisi tunakutukuza kwa sifa zako na kukutaja kwa utakatifu wako? Akasema (Mwenyezi Mungu) Hakika mimi nayajua msiyoyajua."
IBILISI ALIKUWEPO KABLA YA ADAM (2:34 QUR AN) "Na (wakumbushe watu khabari hii) Tulipo waambia malaika Msujudieni Adam ( Yaani mwadhimisheni kwa ile elimu yake aliyopewa). Wakmsujudia wote isipokuwa IBILISI akakataa na akajivuna na (Tokea hapo) alikuwa katika makafiri, (Ila alichanganyika tu na malaika) "
KUINGIA DUNIANI ( 2:36 QUR AN) " (Lakini) Shetani ( Yule IBILISI adui yao) aliwatelezesha wote wawili ( Wkakhalifu amri ile, wakala katika mti huo waliokatazwa) na akwatoa katika ile (hali) waliyokuwa nayo. Tukawaambia Nendeni hali ya kuwa maadui nyinyi kwa nyinyi , na makazi yenu (sasa) katika ardhi na (mtapata) starehe humo kwa muda (makhususi)."