data
JF-Expert Member
- Apr 9, 2011
- 26,151
- 22,726
Swali lenyewe ni hili......
Wewe mdada unapokutana au mwanaume amekufuata anakuambia "sister NIMEKUELEWA"
Hivi huwa mnajiskiaje na je Jibu gani ni sahihi hapo!?
Kwa Wanaume... Unavyomwambia bidada umemuelewa... Hivi maana yake huwa ni nini hasa!??
Karibuni tushee
Wewe mdada unapokutana au mwanaume amekufuata anakuambia "sister NIMEKUELEWA"
Hivi huwa mnajiskiaje na je Jibu gani ni sahihi hapo!?
Kwa Wanaume... Unavyomwambia bidada umemuelewa... Hivi maana yake huwa ni nini hasa!??
Karibuni tushee