Swali: Inapotokea umefungua Fixed Account na benki ikafilisika, kisheria nini uwa kinafanyika kumfidia mteja?

Na kama unasema benki wanategemea pesa za wateja ambazo zinazunguka kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine.
yaani kwa mfano mimi napeleka pesa zangu benki unakopeshwa wewe then unarudisha kwa riba kisha anakopeshwa mwingine na chain inaendelea.
Sasa wanaposema benki imefilisika hizo pesa zinazozunguka zinakuwa zimepotelea wapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu, iko hivi, kwanza fahamu kuwa Benki nazo huwa zinakopa.

Pili benki zinafanya biashara ya kukopesha fedha.

Tatu Benki zina matumizi ya kila siku, ambayo hayazalishi fedha yoyote.(expenditures)

Nne Huwa inatokea wateja kutoweka Sana hela benki husika. Matumizi wakati huo yanaendelea kumbuka.

Kumbuka pia hela ulizoweka benki wewe, Ni Kama umewakopesha.

Hela zinaenda wapi Sasa?

Maingizo ya benki (income) huwa inakuwa ndogo kuliko matumizi, kwanini?

Walioikopa wameshindwa kuilipa benki husika, hata wakiuza Mali za wakopaji hazifidii Deni lote kwa sababu ya Bei husika ya Mali, iliyowekewa dhamana, sokoni. Pia Mara nyingine dhamana huwa haziuziki kabisa, unaweza kudhani watu wameroga.

Hapohapo Waliyoikopesha benki nao wanaidai, benki inavyolipa madeni yake kule hela mnazoweka ndizo zinatumika.

Hapo benki inakuwa Haina hela zenu. Imeenda kulipia Deni. Hapo ndipo utakuta benki Haina watu na ukienda kuchukua hela unaambiwa cash hatuna.

Sometime hazitoshi inabidi ifilisiwe na wakopeshaji wenye dhamana.(Secured creditors)
Wakati wa kuanza kulipa tunaanza Kodi za Serikali.
Kumbuka wewe Ni Kama uliikopesha benki, Ila huna dhamana yoyote.

Imekula kwako tayari.

Kuna mengi hayo Ni machache tu Mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu, iko hivi, kwanza fahamu kuwa Benki nazo huwa zinakopa.

Pili benki zinafanya biashara ya kukopesha fedha.

Tatu Benki zina matumizi ya kila siku, ambayo hayazalishi fedha yoyote.(expenditures)

Nne Huwa inatokea wateja kutoweka Sana hela benki husika. Matumizi wakati huo yanaendelea kumbuka.

Kumbuka pia hela ulizoweka benki wewe, Ni Kama umewakopesha.

Hela zinaenda wapi Sasa?

Maingizo ya benki (income) huwa inakuwa ndogo kuliko matumizi, kwanini?

Walioikopa wameshindwa kuilipa benki husika, hata wakiuza Mali za wakopaji hazifidii Deni lote kwa sababu ya Bei husika ya Mali, iliyowekewa dhamana, sokoni. Pia Mara nyingine dhamana huwa haziuziki kabisa, unaweza kudhani watu wameroga.

Hapohapo Waliyoikopesha benki nao wanaidai, benki inavyolipa madeni yake kule hela mnazoweka ndizo zinatumika.

Hapo benki inakuwa Haina hela zenu. Imeenda kulipia Deni. Hapo ndipo utakuta benki Haina watu na ukienda kuchukua hela unaambiwa cash hatuna.

Sometime hazitoshi inabidi ifilisiwe na wakopeshaji wenye dhamana.(Secured creditors)
Wakati wa kuanza kulipa tunaanza Kodi za Serikali.
Kumbuka wewe Ni Kama uliikopesha benki, Ila huna dhamana yoyote.

Imekula kwako tayari.

Kuna mengi hayo Ni machache tu Mkuu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Hawa secured creditors Nina imani hata NMB ndo ile wanaanzia kuchukua wenye 200M wanakupatia riba ya 13% kwa mwaka. Kwa hii Hela wanakupa faida ya 26M tax ni 10% net unapata 23.4M hii Iko Poa hata ukijenga nyumba hakuna kodi ya hivi utaipata kwa mwaka harakaharaka labda fremu
 
Hawa secured creditors Nina imani hata NMB ndo ile wanaanzia kuchukua wenye 200M wanakupatia riba ya 13% kwa mwaka. Kwa hii Hela wanakupa faida ya 26M tax ni 10% net unapata 23.4M hii Iko Poa hata ukijenga nyumba hakuna kodi ya hivi utaipata kwa mwaka harakaharaka labda fremu
Mkuu naomba unifunue kuhusu kodi ya biashara ya nyumba kwa sasa nimehisi kama unauelewa flani nayo
 
Mkuu naomba unifunue kuhusu kodi ya biashara ya nyumba kwa sasa nimehisi kama unauelewa flani nayo
Inategemeana na mahali unapoijengea hiyo nyumba yako mkuu. Mana mbali na city centre Kiwanja ni bei chee hata kodi ya nyumba ni chini. Ila katikati mkuu ya mji gharama ya Kiwanja kipo juu pia na kodi yake ni kubwa sana.
Kuna Kiwanja kiliuzwa dar kariakoo kwa 2 bilioni mwaka 2012.
 
Inategemeana na mahali unapoijengea hiyo nyumba yako mkuu. Mana mbali na city centre Kiwanja ni bei chee hata kodi ya nyumba ni chini. Ila katikati mkuu ya mji gharama ya Kiwanja kipo juu pia na kodi yake ni kubwa sana.
Kuna Kiwanja kiliuzwa dar kariakoo kwa 2 bilioni mwaka 2012.
Hpana aka namaanisha kodi za serekali yani Tra n.k
 
Hpana aka namaanisha kodi za serekali yani Tra n.k
Kuna kodi ya jengo kama jengo na uthamani wake pia ile biashara unayofanyia pia unalipa kodi yake pia . icho ndo nachojua. Ila Maelezo Yangu ya mwanzo yalikuwa ni kuhusiana na hizo Hela za kuweka benki,kununua bond,bills ama notice na fixed account za serikali ,mortgage company, TPA, mabenki na mashirika makubwa kubwa Mzee kuna muda wana issue hizo security assets. Ingia hata website ya bot IPO kima cha chini ni 5M unanunua bond zako pia hata mabenki wananunua huko kwa Jumla na kuna kutuuzia huku chini kwa rejareja
 
Back
Top Bottom