Swali: Inapotokea umefungua Fixed Account na benki ikafilisika, kisheria nini uwa kinafanyika kumfidia mteja?

dah kweli magumashi. sasa kwa nini hao banki kuu wasihakikishe kuwa dhamana ambayo benki inaweka benki ku inakuwa kubwa kiasi cha kuweza kucover atleast half ya biashara ambayo hiyo benki inafanya.
Mkuu, operations za bank hazitegemei mitaji yao tu, hela tunazoweka wateja Mara nyingi ndizo zinazotumika kuendesha benki, Ni Kama upatu Fulani hivi unafanyika then watu wanakopeshwa kupitia michango hiyo.

Ndiyo maana BOT unaweka mtaji wa kuanzia tu, Sasa operations za benki zikiyumba inamaanisha hela za wateja zimeyumba, hapo hakunaga swalia mtume, vinginevyo uwe secured creditor.

The rest munaweza kutoka patupu hata Senti 50 Ile yenye upande Sungura, huwezi pata.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu, operations za bank hazitegemei mitaji yao tu, hela tunazoweka wateja Mara nyingi ndizo zinazotumika kuendesha benki, Ni Kama upatu Fulani hivi unafanyika then watu wanakopeshwa kupitia michango hiyo.

Ndiyo maana BOT unaweka mtaji wa kuanzia tu, Sasa operations za benki zikiyumba inamaanisha hela za wateja zimeyumba, hapo hakunaga swalia mtume, vinginevyo uwe secured creditor.

The rest munaweza kutoka patupu hata Senti 50 Ile yenye upande Sungura, huwezi pata.

Sent using Jamii Forums mobile app

dah mbona balaa tena hiyo. vipi sasa siwezi iwekea insuarance hila nyangu mie mwenyewe kwa mfano?
 
Hizo financial reports naweza kuzipata wapi? Na je hakuna uwezekano wa kuchakachuliwa?

(Nauliza kwa maslahi ya jukwaa zima, I'm waiting for your answers)

Sent using Jamii Forums mobile app
Financial Reports za taasisi za Benki huwa zinatolewa kila robo mwaka, kwenye magazeti, na huwa kunakuwepo ya mwaka mzima pia, Annual financial report, Kama Ni msomaji wa magazeti yenye akili, siyo ya udaku(Ya shigongo). Utakuwa unaona.

Pia unaweza enda benki husika wakakupa financial report, au kwenye website zao huwa wanaweka, au blosure zao.

Hope nimekupa A na B, C tafuta mwenyewe Sasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bank ikifulia inafunga milango wateja wote mnalizwa. Seriously hii ishawahi tokea marekani kila mtu akapoteza hela. Na Tanzania ikitokea itakua ni hivyohivyo. Financial system dunia nzima imeoza to the core. Hela unayoiona imeandikwa kama balance kwenye account ukweli ni kua bank nyingi hizo hela hawana, ukisema leo hii kila mtu aende bank kutoa hela zake hakuna bank duniani ina cash za kuweza kuwalipa watu wake wote, so inabaki kua ile ni virtual number tu backed by nothing.
 
dah mbona balaa tena hiyo. vipi sasa siwezi iwekea insuarance hila nyangu mie mwenyewe kwa mfano?
Sina uhakika Kama makampuni ya bima Yana insure fedha zilizo benki. Kwa hili Sina uhakika.

Kikubwa Ni wewe mwenyewe kusoma mwenendo wa benki husika, ukiwa makini utajua tu kuwa hapa, nitoe hela zangu, siyo muda hii benki itacollapse.

Matajiri wakubwa wao huwa wanashughulika na viongozi walioko jikoni, Hawa huweza kujua hata miaka miwili kabla benki haijatangazwa mufilisi.

Wanatoaga hela mapema zaidi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Bank ikifulia inafunga milango wateja wote mnalizwa. Seriously hii ishawahi tokea marekani kila mtu akapoteza hela. Na Tanzania ikitokea itakua ni hivyohivyo. Financial system dunia nzima imeoza to the core. Hela unayoiona imeandikwa kama balance kwenye account ukweli ni kua bank nyingi hizo hela hawana, ukisema leo hii kila mtu aende bank kutoa hela zake hakuna bank duniani ina cash za kuweza kuwalipa watu wake wote, so inabaki kua ile ni virtual number tu backed by nothing.
Very true Mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sina uhakika Kama makampuni ya bima Yana insure fedha zilizo benki. Kwa hili Sina uhakika.

Kikubwa Ni wewe mwenyewe kusoma mwenendo wa benki husika, ukiwa makini utajua tu kuwa hapa, nitoe hela zangu, siyo muda hii benki itacollapse.

Matajiri wakubwa wao huwa wanashughulika na viongozi walioko jikoni, Hawa huweza kujua hata miaka miwili kabla benki haijatangazwa mufilisi.

Wanatoaga hela mapema zaidi.

Sent using Jamii Forums mobile app

asante mkuu.
 
Nauliza hivyo sababu niliona mzee wangu amepoteza pesa nyingi baada ya Bank ya Wakulima kufungwa kisa kufilisika na waliishia kupewa fidia ya million 1.5.

Je, nini huwa kinatokea kwa Fixed Account?

Sent using Jamii Forums mobile app
Ukweli ni kwamba benki inapofilisika regulator anachukuwa jukumu la kuhakikisha kuwa wateja wanalindwa. Mfilisi kama beniki imefilisika anafanya taratibu za kuhakiki mali pamoja na fedha zilizopo. kwanza wanawalipa wateja hao kiasi kidogo cha pesa na baada ya hapo process nyingine huanza ambazonazo huchukuwa muda mrefu.
 
Wekeza kwenye international Bank za Ulaya au Asia ambazo hata zikiyumba serikali zao huwaspaoti na sio hizi Efatha Bank zikiyumba ni kutikisika mazima wateja mnakwapuliwa visenti vyenu

Sent using Jamii Forums mobile app
Mtikisiko wa Uchumi 2008 unajua ni watu wangapi walipoteza mabilioni huko US/Ulaya kwny banks zao walizoweka fedha?
 
Ukweli ni kwamba benki inapofilisika regulator anachukuwa jukumu la kuhakikisha kuwa wateja wanalindwa. Mfilisi kama beniki imefilisika anafanya taratibu za kuhakiki mali pamoja na fedha zilizopo. kwanza wanawalipa wateja hao kiasi kidogo cha pesa na baada ya hapo process nyingine huanza ambazonazo huchukuwa muda mrefu.
Haujui wewe, kampuni inapofilisika, wa kwanza kulipwa Ni madeni ya Serikali,(Kodi) baada hapo secured creditor, Hawa Ni wale waliyoikopesha benki na wameshika dhamana za Benki, baada ya hapo Kama hela utabaki, Ni unsecured creditors.

Wateja mnaambulia BP tu, vinginevyo na ukiona nimepewa kifuta BP, ujue hao huko juu, wamelipwa in full alafu kabalance kaliko salia ndiyo mumepewa nyie. Vinginevyo mnatoka na matako tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Na kama unasema benki wanategemea pesa za wateja ambazo zinazunguka kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine.
yaani kwa mfano mimi napeleka pesa zangu benki unakopeshwa wewe then unarudisha kwa riba kisha anakopeshwa mwingine na chain inaendelea.
Sasa wanaposema benki imefilisika hizo pesa zinazozunguka zinakuwa zimepotelea wapi?
Mkuu, operations za bank hazitegemei mitaji yao tu, hela tunazoweka wateja Mara nyingi ndizo zinazotumika kuendesha benki, Ni Kama upatu Fulani hivi unafanyika then watu wanakopeshwa kupitia michango hiyo.

Ndiyo maana BOT unaweka mtaji wa kuanzia tu, Sasa operations za benki zikiyumba inamaanisha hela za wateja zimeyumba, hapo hakunaga swalia mtume, vinginevyo uwe secured creditor.

The rest munaweza kutoka patupu hata Senti 50 Ile yenye upande Sungura, huwezi pata.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah aisee haya mambo mtu usipojua unaweza kupata hasara ukabaki na mshangao.
Unajua watu wengi tulikaririshwa kwamba benki ndio sehemu salama kuweka benki kumbe tumepumbazwa tu.
Haujui wewe, kampuni inapofilisika, wa kwanza kulipwa Ni madeni ya Serikali,(Kodi) baada hapo secured creditor, Hawa Ni wale waliyoikopesha benki na wameshika dhamana za Benki, baada ya hapo Kama hela utabaki, Ni unsecured creditors.

Wateja mnaambulia BP tu, vinginevyo na ukiona nimepewa kifuta BP, ujue hao huko juu, wamelipwa in full alafu kabalance kaliko salia ndiyo mumepewa nyie. Vinginevyo mnatoka na matako tu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mkuu kuna mikopo mingi isiyolipika.. Unakuta hata dhamana haziuziki hata zikiuzika zinashindwa kicover deni/mkopo!
Na kama unasema benki wanategemea pesa za wateja ambazo zinazunguka kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mwingine.
yaani kwa mfano mimi napeleka pesa zangu benki unakopeshwa wewe then unarudisha kwa riba kisha anakopeshwa mwingine na chain inaendelea.
Sasa wanaposema benki imefilisika hizo pesa zinazozunguka zinakuwa zimepotelea wapi?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah aisee haya mambo mtu usipojua unaweza kupata hasara ukabaki na mshangao.
Unajua watu wengi tulikaririshwa kwamba benki ndio sehemu salama kuweka benki kumbe tumepumbazwa tu.

Sent using Jamii Forums mobile app
Kama benki inafanya vizuri, hakunaga tatizo.

Tatizo linakuja pale inapokuwa imeyumba kifedha, Hali inakuwa mbaya, kaakiba kote kanatoweka komasihara sihara,

Umetoka huko, unafika benki kuchukua hela unaambiwa hatuna cash. Unadhani kweli wameishiwa cash. Kumbe taa nyekundu inawaka hasa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna Bank kama sijakosea ilikuwa inaitwa MERIDIAN BIAO BANK.... Nakumbuka walifilisika mchana kweupeeee
Bank ikifulia inafunga milango wateja wote mnalizwa. Seriously hii ishawahi tokea marekani kila mtu akapoteza hela. Na Tanzania ikitokea itakua ni hivyohivyo. Financial system dunia nzima imeoza to the core. Hela unayoiona imeandikwa kama balance kwenye account ukweli ni kua bank nyingi hizo hela hawana, ukisema leo hii kila mtu aende bank kutoa hela zake hakuna bank duniani ina cash za kuweza kuwalipa watu wake wote, so inabaki kua ile ni virtual number tu backed by nothing.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom