amakyasya
JF-Expert Member
- Jun 26, 2013
- 3,480
- 907
Katika mambo aliyokemea kwa nguvu zote enzi za uhai wake mwl. Nyerere ni RUSHWA ambayo kwa sasa ni kama imeshindikana kutokomezwa hapa TZ. Kama hali ni hiyo itawezekana vipi kumuenzi Nelson Mandela wa Afrika kusini kwa kutolipiza visasi na mambo mengine mema aliyoyaacha?