Ina maana lowasa anainfluence kubwa kiasi hicho?Na kama pole pole aliyajua hayo kwanini hakusema siku zote?Ule wa jana haukuwa mdahalo ila ni kampeni za kiujanja ujanja.
Ila ni kama watu wanajichanganya kwani butiku alisema wakati anamnukuu nyerere kwamba upinzani wa kweli utatoka ndani ya ccm,na mtu akihama hakuna sababu ya kuwa maadui kwani kuhama huko kutatokana na tofauti za kimtazamo,je lowasa angeendelea kuwa ccm wangemuita fisadi kama ilivyo sasa?Na kwanini kama aliibia nchi sheria isingechukua mkondo wake tokea 2008?
Ila ni kama watu wanajichanganya kwani butiku alisema wakati anamnukuu nyerere kwamba upinzani wa kweli utatoka ndani ya ccm,na mtu akihama hakuna sababu ya kuwa maadui kwani kuhama huko kutatokana na tofauti za kimtazamo,je lowasa angeendelea kuwa ccm wangemuita fisadi kama ilivyo sasa?Na kwanini kama aliibia nchi sheria isingechukua mkondo wake tokea 2008?