Swali: Humphrey Pole pole unamtumikia nani?

Swali: Humphrey Pole pole unamtumikia nani?

Anza kujiuliza wewe binafsi kwamba hivi unamtumikia nani ndio ufuate kumuuliza polepole,hakuna mwana UKAWA ambaye aliwahi kubali ufisadi wa lowasa,leo mnamtumikia nani hata mmuone anafaa,mlizunguka tanzania nzima kutuaminisha kwamba lowasa hafai ni mwizi na fisadi then leo mnamshangaa Polepole ambaye hajabadili msimamo wake kumpinga Lowasa.

Mliamininshwa kwamba EL ni fisadi na hamkuchukua hatua, iweje leo wale waliowaaminisha na nyie mkakubali leo wakiwaambia sio fisadi mkatae? Mngekuwa mmepeleka mahakamani halafu hao ukawa wabishe hapo ningekuelewa. Sio kujifanya mliamini wakati kule lakini mkiambiwa leo sio fisadi mkatae!!!
 
Kabla kusema polepole kahongwa kumkashifu Lowawasa unatakiwa utumwambie,na wakati ule mwembe yanga Slaa,tundulisu,mbowe na wengineo walihongwa na nani?

kwa iyo unataka kuniambia na kuwaambia watanzania kwamba baada ya Lowassa kuondoka ccm ufisadi ndio umekoma katika taasisi ya CCM?

Andrew Chenge, Tibaijuka, Ngeleja etc. walithibitishwa na bunge kwenye ufisadi wa Escrow na hawa wote ni wagombea kwenye kambi ya ccm vipi polepole anamtaja lowassa??

Mkuu alikuwa ndani ya list of shame mbona mliendelea kumchagua kuwa rais?? ile list ilikuwa ni watu 11 ukitoa lowassa namba 11 hawa 10 waliobaki kwa nini polepole hana ujasiri kuwazungumzia na ni wagombea ndani ya Chama cha Mapinduzi?? kumbuka juzi Magufuli alienda jimboni kwa Andrew change na kumnadi ni kiongozi madhubuti vipi ccm itajisafisha kutokana na hili ili waje wawe na power ya kumsema Lowassa??

asili ya ufisadi imetokea wapi Tanzania? mana cham kilicho madarakani ni ccm tu tokea uhuru halafu uje hapa na power ya kumsema lowassa
 
Polepole anafuata nyayo za paul makonda.....kujipendekeza kwa kwenda mbele bdae apewe kajipost flani.
 
Hamna haja ya kumjadili huyu mpuuzi kanunuliwa huwez kuwa mwanachama wa chama kinachopinga katiba yawananchi huyu ninjaa tu hana hoja kapew zake anajitutumua asiaibike
 
Back
Top Bottom