Watu wa arusha tumechoka maandamano . Tunataka mtu atakaetusaidia kupata maendeleo na kuipaisha arusha katika nyanja zote za uchumi. Mambo ya kutumiwa kama mfuko wa rambo hatutaki. utalii wa mikutano umeshuka sana hapa Arusha mambo ya ushabiki hatuhitaji .
kama mbunge wa Arusha anachaguliwa hapa jamvini basi mchezo ungekuwa umeisha . ila subirini kipenga kipulizwe mtashangaa jimbo likirudi CCM.
Al shabab huyo/Msomali...