blasted masawe
JF-Expert Member
- Dec 22, 2016
- 340
- 282
Baada ya miaka 2 hawa wahamiaji watatupwa nje kama kopo la chooni ndipo watakapogundua walifanya kosa kubwa sana ila watakuwa wamechelewa. Time will tell.Ukianza kutumia logic and reasoning katika siasa za Africa na ccm hususani hapa Tz, utaumiza kichwa chako bure......hapa hamn itikadi au philosophy, kinacho fuatwa ni swala la kukurupuka na kufurahisha kiongozi mkuu....tabia hiyo hiyo itawasumbua mpaka chama kitapata mpasuko mkumbwa, kwa sababu "what goes round comes round" hamna mwana chama wa CCM wakwelikweli anae weza ku trust Mtatiro au Mtulia nawenzake,