Swali fikirishi: Ni nini walicho nacho wapinzani wahamao ambacho CCM hawana?

radika

JF-Expert Member
Jul 15, 2014
20,427
32,196
Hilo swali kauliza Ephraem Kibonde ambalo naliona lina mantiki kubwa sana kwamba hao watu wanaotoka vyama vya upinzani kisha wakajiunga na ccm na kupitishwa moja kwa moja na ccm kugombea nyazifa walizoziacha huko watakako sasa ni kitu gani huko ccm hamna?

Pili ni mwanachama yupi wa ccm ambae anaweza kuhoji au kumkosoa moja kwa moja mwenyekiti wa ccm pindi akikosea ambae ni Raisi magufuli hivyo basi wakina mtatiro na mtulia wanaweza kumkosoa magufuli?

Maoni yangu sasa.

Binafsi naona kuna makubaliano fulani ya rushwa ya uongozi huwezi kujivua ubunge ukahamia chama b ukapitiliza moja kwa moja kuutaka ubunge ambao umeukimbia chama cha awali ambacho ulisimamia majukwaani kutetea itikadi na misingi yake zilizokupa ubunge au udiwani.

Changamoto zimeisha ktk jamii yetu hadi mtu uamue kuungana na fulani? Hapa linakuja suala la ubunifu

Hivi zanzibar ambayo inaongozwa na ccm kila kona maendeleo yake yanafukuzana na Qatar?

Kwa nini ukihama usiwe mwanachama wa kawaida na kutulia kwa nini ugombee tena waliopo huko hawafai?

Ni kiongozi yupi wa africa ambae yupo tayari kuachia madaraka kwa jambo fulani linalomfurahisha? Maswali ni mengi sana.
 
Ukianza kutumia logic and reasoning katika siasa za Africa na ccm hususani hapa Tz, utaumiza kichwa chako bure......hapa hamn itikadi au philosophy, kinacho fuatwa ni swala la kukurupuka na kufurahisha kiongozi mkuu....tabia hiyo hiyo itawasumbua mpaka chama kitapata mpasuko mkumbwa, kwa sababu "what goes round comes round" hamna mwana chama wa CCM wakwelikweli anae weza ku trust Mtatiro au Mtulia nawenzake,
 
Ukianza kutumia logic and reasoning katika siasa za Africa na ccm hususani hapa Tz, utaumiza kichwa chako bure......hapa hamn itikadi au philosophy, kinacho fuatwa ni swala la kukurupuka na kufurahisha kiongozi mkuu....tabia hiyo hiyo itawasumbua mpaka chama kitapata mpasuko mkumbwa, kwa sababu "what goes round comes round" hamna mwana chama wa CCM wakwelikweli anae weza ku trust Mtatiro au Mtulia nawenzake,
Ni kama umekuwa katika mawazo yangu.!
Hawa watu wanaohamia CCM wana hamia kwa dhamiri kuu mbili..
1: kupata mahali ambapo maslahi yao yanaweza kutunzwa bila bugudha.. wakiamini kuwa Watanzania ni watu wa kusamehe hasa ukiwa na rangi ya kijani..

2.wanakuja huku kimkakati wakiamini kabisa njia pekee ya kuiangusha CCM ni kuwa ndani ya CCM yenyewe hivyo wanakuja kama virusi..ili wajizalishe kisha waipasue.!

Ushauri wangu kwa Wanaccm.
Hasa vitengo vinavyohusiana na uchunguzi.!
Hawa watu ni vema wakachunguzwa kwa muda wa kutosha mienendo yao matamshi yao na hata tabia zao! Kama tujuavyo kirusi huchukua muda kuanza kuleta madhara vivyo hivyo watu hawa hawapaswi kuchukuliwa tu kikawaida..

Hususani Julius Mtatiro.!
 
Huwa nawaza hao ccm wanajisikiaje mpinzani ameingia tu na kupewa tiketi ya kugombea ubunge tena

Watakuwa wanaumia sana ccm kutoa sauti ndio hawawezi yajayo yanasikitisha sana yetu macho sie
Kabisa mkuu kuongea hawawezi walihoji pesa ya wakulima wa korosho mwenyekiti wao alipanga kuwatimua na kupiga mashangazi nani ana ujasiri huo tena?
 
Hiii Vita ni kma ya Russia Vs USA,.
After sometime mtakuja kuona anguko kubwa ndani ya ccm,haitopta miaka10,hii mbinu naipenda Sana,.
Kati ya vitu vgumu maisha ktk kumbadilisha mtu dini na vyama,hao waliohamia ccm kutokea chadema,ni wapinzani haswaaa kutoka ndani ya mioyo
 
Hiii Vita ni kma ya Russia Vs USA,.
After sometime mtakuja kuona anguko kubwa ndani ya ccm,haitopta miaka10,hii mbinu naipenda Sana,.
Kati ya vitu vgumu maisha ktk kumbadilisha mtu dini na vyama,hao waliohamia ccm kutokea chadema,ni wapinzani haswaaa kutoka ndani ya mioyo
Nafikir vita ipo 2020 maana waliotoka huku wakaenda kule watapigwa benchi wenye chama watataka nafasi kazi ipo mkuu
 
Mkuu jibu ni jepesi sana, upande mmoja umedhamiria kuua upinzani ili utawale wenyewe miaka 200 zaidi na upande wa pili umeiona fursa ya mavuno "windfall income"; kwa hiyo wanachangamkia fursa na kuhakikisha wanasimamia kipengele cha "Automatic nomination" katika chaguzi ndogo zinazofuata, basi hakuna cha kuunga mkono lolote wala kubadilika kiitikadi, ni awamu ya kuvuna, bingo likitangazwa unasogea mbele na kuvuna!
 
Mkuu jibu ni jepesi sana, upande mmoja umedhamiria kuua upinzani ili utawale wenyewe miaka 200 zaidi na upande wa pili umeiona fursa ya mavuno "windfall income"; kwa hiyo wanachangamkia fursa na kuhakikisha wanasimamia kipengele cha "Automatic nomination" katika chaguzi ndogo zinazofuata, basi hakuna cha kuunga mkono lolote wala kubadilika kiitikadi, ni awamu ya kuvuna, bingo likitangazwa unasogea mbele na kuvuna!
Ndicho nnachokiona mkuu wengi wanaichangamkia fursa wenye chama wanatupwa pembeni.
 
  • Thanks
Reactions: MTK
Nafikir vita ipo 2020 maana waliotoka huku wakaenda kule watapigwa benchi wenye chama watataka nafasi kazi ipo mkuu
Kwa kuwa watakuwa wamepokea pensheni zao kamili za bunge linalomaliza muda wake, hakuna ubaya wala hasara kama wakipigwa benchi.
 
Kwa kuwa watakuwa wamepokea pensheni zao kamili za bunge linalomaliza muda wake, hakuna ubaya wala hasara kama wakipigwa benchi.
Kweli nayo ni point maana nasikia wanalipiwa madeni yao yote kwa hiyo kiinua mgongo chao hakitaguswa
 
  • Thanks
Reactions: MTK
Huwa nawaza hao ccm wanajisikiaje mpinzani ameingia tu na kupewa tiketi ya kugombea ubunge tena

Watakuwa wanaumia sana ccm kutoa sauti ndio hawawezi yajayo yanasikitisha sana yetu macho sie
Hapo ndoujue kwamba siasa za vyama hapa Tz bado ni premature, yani mwenyekiti ni mzito anamaamuzi kuliko chama chote kila mtu anamogopa kupishana kauli nae..chukua mfano wa ANC Zuma aliondolewa na Chama, Mbeki kaondolewa na Chama ZANUPF wamemuondowa Mugabe.... sasa niwakati muafaka CCM wainge vyama vikonge vinavyo fanya, wasiendelea kuogopa kinyago walicho chonga wenyewe.....wasaidie wananchi kusema "No" enough is enough uwezo huo wanao.
 
Hapo ndoujue kwamba siasa za vyama hapa Tz bado ni premature, yani mwenyekiti ni mzito anamaamuzi kuliko chama chote kila mtu anamogopa kupishana kauli nae..chukua mfano wa ANC Zuma aliondolewa na Chama, Mbeki kaondolewa na Chama ZANUPF wamemuondowa Mugabe.... sasa niwakati muafaka CCM wainge vyama vikonge vinavyo fanya, wasiendelea kuogopa kinyago walicho chonga wenyewe.....wasaidie wananchi kusema "No" enough is enough uwezo huo wanao.
Mkuu nani wa kumuhoji magufuli na kusema no ambae anataka kupitisha bajeti kibabe wakigoma wanafukuzwa na kupigwa?
 
Back
Top Bottom