radika
JF-Expert Member
- Jul 15, 2014
- 20,427
- 32,196
Hilo swali kauliza Ephraem Kibonde ambalo naliona lina mantiki kubwa sana kwamba hao watu wanaotoka vyama vya upinzani kisha wakajiunga na ccm na kupitishwa moja kwa moja na ccm kugombea nyazifa walizoziacha huko watakako sasa ni kitu gani huko ccm hamna?
Pili ni mwanachama yupi wa ccm ambae anaweza kuhoji au kumkosoa moja kwa moja mwenyekiti wa ccm pindi akikosea ambae ni Raisi magufuli hivyo basi wakina mtatiro na mtulia wanaweza kumkosoa magufuli?
Maoni yangu sasa.
Binafsi naona kuna makubaliano fulani ya rushwa ya uongozi huwezi kujivua ubunge ukahamia chama b ukapitiliza moja kwa moja kuutaka ubunge ambao umeukimbia chama cha awali ambacho ulisimamia majukwaani kutetea itikadi na misingi yake zilizokupa ubunge au udiwani.
Changamoto zimeisha ktk jamii yetu hadi mtu uamue kuungana na fulani? Hapa linakuja suala la ubunifu
Hivi zanzibar ambayo inaongozwa na ccm kila kona maendeleo yake yanafukuzana na Qatar?
Kwa nini ukihama usiwe mwanachama wa kawaida na kutulia kwa nini ugombee tena waliopo huko hawafai?
Ni kiongozi yupi wa africa ambae yupo tayari kuachia madaraka kwa jambo fulani linalomfurahisha? Maswali ni mengi sana.
Pili ni mwanachama yupi wa ccm ambae anaweza kuhoji au kumkosoa moja kwa moja mwenyekiti wa ccm pindi akikosea ambae ni Raisi magufuli hivyo basi wakina mtatiro na mtulia wanaweza kumkosoa magufuli?
Maoni yangu sasa.
Binafsi naona kuna makubaliano fulani ya rushwa ya uongozi huwezi kujivua ubunge ukahamia chama b ukapitiliza moja kwa moja kuutaka ubunge ambao umeukimbia chama cha awali ambacho ulisimamia majukwaani kutetea itikadi na misingi yake zilizokupa ubunge au udiwani.
Changamoto zimeisha ktk jamii yetu hadi mtu uamue kuungana na fulani? Hapa linakuja suala la ubunifu
Hivi zanzibar ambayo inaongozwa na ccm kila kona maendeleo yake yanafukuzana na Qatar?
Kwa nini ukihama usiwe mwanachama wa kawaida na kutulia kwa nini ugombee tena waliopo huko hawafai?
Ni kiongozi yupi wa africa ambae yupo tayari kuachia madaraka kwa jambo fulani linalomfurahisha? Maswali ni mengi sana.