Swali fikirishi: Kuhusu Uwezekano wa Magufuli kugombea Mitano Tena 2025

luvcyna

JF-Expert Member
Feb 24, 2009
1,848
1,938
Hello JF

Ninaswali kuhusu katiba yetu ya sasa, Je endapo Magufuli ataangushwa na Lissu kwenye uchaguzi huu, upo uwezekano wa yeye kugombea tena 2025 ili kumalizia tena ngwe yake ya pili ya mitano tena?

Kama inaruhusu, Binafsi ningependa apewe nafasi ya kugombea tena kama atashindwa kushinda kwenye uchaguzi huu, wakati huo utakuwa mzuri kwetu watanzania kupima utekelezaji wa wagombea wetu wote wawili maana tutakuwa na experience ya uongozi wao wote wawili tulipowakabidhi Ikulu.

Sijui ninyi mnaonaje.
 
Shida ni huko CCM hawezi pewa Tena tunamtamani Tena 2025 Ila CCM hawatompa Tena na uenyekiti wanamnyanganya kabla mwaka haujaisha

Shetani Hana rafiki
 
Uchaguzi huu CCM inakwenda kushinda kwa kishindo kwakua upinzani nidhaifu kuliko wakati wowote tangu kuanzishwa kwa vyama vingi.
 
Hello JF

Ninaswali kuhusu katiba yetu ya sasa, Je endapo Magufuli ataangushwa na Lissu kwenye uchaguzi huu, upo uwezekano wa yeye kugombea tena 2025 ili kumalizia tena ngwe yake ya pili ya mitano tena?

Kama inaruhusu, Binafsi ningependa apewe nafasi ya kugombea tena kama atashindwa kushinda kwenye uchaguzi huu, wakati huo utakuwa mzuri kwetu watanzania kupima utekelezaji wa wagombea wetu wote wawili maana tutakuwa na experience ya uongozi wao wote wawili tulipowakabidhi Ikulu.

Sijui ninyi mnaonaje.
Inategemea na maendeleo ya hali hii
 
Uchaguzi huu CCM inakwenda kushinda kwa kishindo kwakua upinzani nidhaifu kuliko wakati wowote tangu kuanzishwa kwa vyama vingi.
Ni kweli kabisa sera na hoja zao ni nyepesi sana.
Hao wamejikita kwenye upingaji zaidi kuliko sera.
 
Kweli ingekua poa Sana. Wangechukua Upinzani awamu hii, Kisha 2030 she huyu huyu Magu. Hapo mambo ingekaa poa Sana😄😄😄😄😀
 
Uchaguzi huu CCM inakwenda kushinda kwa kishindo kwakua upinzani nidhaifu kuliko wakati wowote tangu kuanzishwa kwa vyama vingi.
AutoComment robot la CCM hili, make kila uzi linacomment huu ushuzi...
 
Hello JF

Ninaswali kuhusu katiba yetu ya sasa, Je endapo Magufuli ataangushwa na Lissu kwenye uchaguzi huu, upo uwezekano wa yeye kugombea tena 2025 ili kumalizia tena ngwe yake ya pili ya mitano tena?

Kama inaruhusu, Binafsi ningependa apewe nafasi ya kugombea tena kama atashindwa kushinda kwenye uchaguzi huu, wakati huo utakuwa mzuri kwetu watanzania kupima utekelezaji wa wagombea wetu wote wawili maana tutakuwa na experience ya uongozi wao wote wawili tulipowakabidhi Ikulu.

Sijui ninyi mnaonaje.
Hakuna kitu kama hicho Tanzania
 
Atabadili katiba huyu, nafasi pekee asirudi. Ajiamini atapita bila kupingwa akutegemea kabisa ujio wa Lisu umemvuruga kabisa. Akipona hii akarudi tena atoki huyu atabadili katiba ili atese na kuwakomoa watu,
 
Hello JF

Ninaswali kuhusu katiba yetu ya sasa, Je endapo Magufuli ataangushwa na Lissu kwenye uchaguzi huu, upo uwezekano wa yeye kugombea tena 2025 ili kumalizia tena ngwe yake ya pili ya mitano tena?

Kama inaruhusu, Binafsi ningependa apewe nafasi ya kugombea tena kama atashindwa kushinda kwenye uchaguzi huu, wakati huo utakuwa mzuri kwetu watanzania kupima utekelezaji wa wagombea wetu wote wawili maana tutakuwa na experience ya uongozi wao wote wawili tulipowakabidhi Ikulu.

Sijui ninyi mnaonaje.
Hio nafasi atapatia wapi hana rafiki zaidi ya wanufaika.
Akiangushwa ndo kwisha habari yake.Atasomwa kwenye historia Kama kina sokoine
 
Sioni tatizo, kwa uzalendo wake anafaa
Tumechoka kuongozwa na CCM wanaokumbatia mabeberu!
543890.jpg
 
Hello JF

Ninaswali kuhusu katiba yetu ya sasa, Je endapo Magufuli ataangushwa na Lissu kwenye uchaguzi huu, upo uwezekano wa yeye kugombea tena 2025 ili kumalizia tena ngwe yake ya pili ya mitano tena?

Kama inaruhusu, Binafsi ningependa apewe nafasi ya kugombea tena kama atashindwa kushinda kwenye uchaguzi huu, wakati huo utakuwa mzuri kwetu watanzania kupima utekelezaji wa wagombea wetu wote wawili maana tutakuwa na experience ya uongozi wao wote wawili tulipowakabidhi Ikulu.

Sijui ninyi mnaonaje.
Hilo wazo futa kichwani mwako
Sababu ccm itashina kwa ushind wa kimbunga
 
Hello JF

Ninaswali kuhusu katiba yetu ya sasa, Je endapo Magufuli ataangushwa na Lissu kwenye uchaguzi huu, upo uwezekano wa yeye kugombea tena 2025 ili kumalizia tena ngwe yake ya pili ya mitano tena?

Kama inaruhusu, Binafsi ningependa apewe nafasi ya kugombea tena kama atashindwa kushinda kwenye uchaguzi huu, wakati huo utakuwa mzuri kwetu watanzania kupima utekelezaji wa wagombea wetu wote wawili maana tutakuwa na experience ya uongozi wao wote wawili tulipowakabidhi Ikulu.

Sijui ninyi mnaonaje.

Ni kweli iwe ni onja huku onja kule kwa zamu tupate ladha inayofaa
 
Back
Top Bottom