jibu ni ndio, english ni official language in tanzania cha ajabu mtukufu haielewi vizuri, huyu anaweza kuwa kiongozi wa kwanza duniani kutojua kiufasaha lugha ya nchi yake, mwenzie kama kagame anaongea english, french na kiswahili kiufasaha!
Nyerere aliwahi kusema fikra sahihi huja kwa lugha sahihi.