McRiyckeel
JF-Expert Member
- Jun 21, 2017
- 2,066
- 11,987
waliofanikiwa kimaisha wanasema usimdharau mtu...we mpe tu score zake tu inatosha yy kafunguka kulingana na uelewa wakeMoney Penny, ww chizi ndio maana umepigwa ban, yaani thread moja umeifungua mara mbili au Kuna jibu lako unalitaka. Snoop dog anauza bangi hivi unalijua hili, cristian Ronaldo anauza boxer unalijua hili kwa kumalizi nenda Forbes kaangalie list ya matajiri 50, Kuna mama (Jaqueline Mars ana utajiri wa dola billion 23.5) utajiri wake umetokana kwa Kuuza pipi. Kupitia karanga, perfume na WCB, TRA inachukua kodi ambazo zinajenga barabara, mahospital, shule nk na vilevile watu wamepata ajira, hauoni kama ameisaidia jamii. Sasa ww unataka nini au unataka mpaka aisaidie familia yako ndio ujue anaisadia jamii. Tatizo la vijana wengi wa kitanzania, wanapenda maendeleo lkn hawapendi kujifunza, kupitia kwa walioendelea na wenye mafanikio zaidi ya kujenga majungu, fitina, chuki na wivu. Huu uzi uliufungua usiku, mpaka saa nane unajibishana na watu, leo tena HIVI HUNA KAZI YA KUFANYA. Alafu ww unajifanya mjanja, "eti mimi sifuatilii mziki wa Tanzania", kumbe mweupe huna inachokijua, kama ikiwezekana JF, ikupige ban maisha.