Azim Sokoine
JF-Expert Member
- Aug 20, 2014
- 1,443
- 2,643
habar wakuu,
Ni masaa kadhaa yaliyopita Jeshi la Polisi limetupatia taarifa kuwa wale majambazi waliowaua polisi 8,jeshi hilo limefanikiwa kuua majambaz 4. Lakini cha ajabu miili hiyo ya hao majambazi hakuna aliyefanikiwa kuiona.
Nini kimejificha nyuma ya pazia juu ya hili! sio kwamba jeshi la polisi wanataka kuecolize kwa kuwahadaa watanzania?
Ni masaa kadhaa yaliyopita Jeshi la Polisi limetupatia taarifa kuwa wale majambazi waliowaua polisi 8,jeshi hilo limefanikiwa kuua majambaz 4. Lakini cha ajabu miili hiyo ya hao majambazi hakuna aliyefanikiwa kuiona.
Nini kimejificha nyuma ya pazia juu ya hili! sio kwamba jeshi la polisi wanataka kuecolize kwa kuwahadaa watanzania?