Honey Faith
JF-Expert Member
- Aug 21, 2013
- 15,782
- 11,838
jamani huyu baba V na mama V mbona wanaandamwa sn
khaa!umgawie?kwan una MAUJAUZITO MANGAP?Umeniita nani???? Nilishasema na watu8 nikamwambia, lazima nikugawie ujauzito
jamani huyu baba V na mama V mbona wanaandamwa sn
Mti wenye matunda huu. Kuna watu wameshindwa kudumu kwenye ndoa zao, kuona ndoa yangu imetulia wameanza kupiga majungu... itakula kwao..
Sidhani kama Invisible anafanya kazi kwa majungu na mashinikizo.. Atachunguza akijiridhisha atachukua hatua. Ila ujiangalie wewe sasa huwa huchelewi kuhama jukwaa..
Mti wenye matunda huu. Kuna watu wameshindwa kudumu kwenye ndoa zao, kuona ndoa yangu imetulia wameanza kupiga majungu... itakula kwao..
mbona lakini ubavu wako hatujibu chochote au we ndo msemaji mkuu?
Hiyo ndoa kaifungisha nani?
Hiyo ndoa kaifungisha nani?
Kuna nini tena huku?
Hatariiiiiha ha ha huku ni sarakasi za Baba V vs Mama V hewa
Umeniita nani???? Nilishasema na watu8 nikamwambia, lazima nikugawie ujauzito
Sidhani kama Invisible anafanya kazi kwa majungu na mashinikizo.. Atachunguza akijiridhisha atachukua hatua. Ila ujiangalie wewe sasa huwa huchelewi kuhama jukwaa..
nahisi alijioa mwenyewe duhhhhhhhhhhh
Sidhani kama Invisible anafanya kazi kwa majungu na mashinikizo.. Atachunguza akijiridhisha atachukua hatua. Ila ujiangalie wewe sasa huwa huchelewi kuhama jukwaa..