RRONDO
JF-Expert Member
- Jan 3, 2010
- 51,760
- 107,973
Naomba nikuulize swali. Unaamini ukiiacha gari idling for 10minutes joto linapungua(inapoa)? Kwamba wakati unaendesha mshale wa temperature unakuwa juu, ukifika ukiiacha idling for 10mins mshale unashuka (inapoa)?Sure- Kwenye hili kila mtu anapaswa kufata anachoamini.Binafsi the theory behind kuacha gari for 10 minutes naiamini completely.Lengo la kuacha gari kwa muda ni kufanya components za engine kuweza kurudia umbo lake la awali bila kuathirika,and according to Engineer KYANDO (NIT)-Upoozaji huu huusisha njia tofauti tofauti ikiwemo exhaust system.
Ukiniuliza mimi kwa gari nzima temperature inabaki ile ile na fan inafanya kazi ya ziada kuhakikisha temperature haipandi ukiwa umesimama kuliko ukiwa kwenye mwendo.