Siyo kusafiri tu ni kawaida ukiiwasha gari ipe walau dk 3,4,5 na ukiwa dereva mzuri ukiiwasha itakuwa na hidring speed ya juu kidogo kisha baada ya muda italudi normal kisha mwwndo mdundoVipi kuhusu unapoiwasha Gari asubuhi? hasa kwa hizi gari za kisasa,kuna umuhimu wakiu warm up Gari kabla ya kuanza safari?
Kitaalamu imekaaje hii?