Waziri muhusika alitakiwa ajiuzulu juu ya kukosekana kwa umeme,alipitisha rushwa kubwa sana kama bilioni kazaa hivi alingiza katika budget yake ili aje walipe wabunge kila mmoja milioni 50 kwa kupongzwa kupitishwa kwa budget yake.Napendekeza mimi kwa wananchi,katika mchakato unaokuja wa katiba,kuweke sheria juu ya walaji rushwa na wawanaochezea mali za umma,akipataka mtu mwenye hilo kosa apigwe kinyongo tu ili iwe funzo kwa viongozi wengine.Ubaya wa ulitumika hapa tz ni kwamba vyanzo vya umeme ni vichache na hivyo ndivyo vilivyoifanya nchi nzima kuwa giza,wakati ilitakiwa kila mkowa kuwe na vyanzo vyake vya umeme,kunapotoka athari isi athiri nchi nzima.Hwa viongozi wamesoma au wame cremu mabuku tu ? Mbona hawako waamini sana na hawajui wajibu wao,hawako creative sana,viongozi wanasingizia mabwawa ya maji yamekauka sasa nauliza.Hivi zile nchi za kiarabu jangwa tupu wanapata umeme wa majabali au umeme gani ? Mana hakuna mito kama tulio nayo tz ?
Inaelekea watu wanapenda giza.Ni kwa nini watu wanakubali kukaa gizani na hawalalamiki wala nini ,inaelekea mnapenda hiyo style .
yoyo, umeshamaliza kifungo?
Tatizo la watanganyika wanasoma ma book tu na munashindwa kutumia akili zenu kuchambua mambo,sio umeme tu mambo mengi munashindw akuchambua na tatizo kubwa la watanganyika hamupendi ukweli,na ndio ikafika time muna lala giza.Inaelekea watu wanapenda giza.Ni kwa nini watu wanakubali kukaa gizani na hawalalamiki wala nini ,inaelekea mnapenda hiyo style .
Niambie sisi Wazenji tunatumia akili gani wakati kila kitu tumelala tunawategemea machogo, umeme wenyewe watupa wao kwa upendeleo kama wake wadogo, upuuzi tu, hujui unacho ongea kaa kimya!Tatizo la watanganyika wanasoma ma book tu na munashindwa kutumia akili zenu kuchambua mambo,sio umeme tu mambo mengi munashindw akuchambua na tatizo kubwa la watanganyika hamupendi ukweli,na ndio ikafika time muna lala giza.Vizazi vilivyo pita vya wazee aliki zao zilia duni sana,na ndoma enzi hizo walikuwa wakivaa ngozi hadi miaka 1960,wakati wazungu tayari washatengeneza nguo,hebu tuweni creative jamani,tuamkeni,tuwekeni uwazi .Leo mtanzania bara umwite mtanganyika anakasirika lakini nyinyi munatuita wapemba,wazenjii wazanzibari,sisi tunajifahari na tumeamka sasa hivi kwa kila kitu,ugao wa umeme uwewashinda ccm wameona kuimaliza zanzibar kwa bilioni 50 ili kuziba pengo la umeme,Waziri wa madini katumbua pesa huyo na familya yake kaona sasa wapi atazirudisha ni kuikaba zanzibar.Huyu waziri anafaa ajiuzulu,amkeni watanganyika ingieni barabarani ccm nchi imewachinda,viongozi wote wa ccm ni majambazi,ndio hawa ambao walikuowa wakipiga risasi kariakoo miaka ya 2005,sasa ndhi hao wabunge na mawaziri.HAHAHAHA ,amkeniiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiii
Tumekula ugali wa yanga hatukuprotest!!! Umeme tu tuingie street???Inaelekea watu wanapenda giza.Ni kwa nini watu wanakubali kukaa gizani na hawalalamiki wala nini ,inaelekea mnapenda hiyo style .
Wewe ulikuwepo wapi siku zote hizo,kwanza sio mzenji wewe na huwezi kuongea kitu hicho hata siku moja,zanzibar mpaka miaka ya 1964 tulikuwa na umeme wetu wa kujitegemea,tulikuwa na vyanzo vya umeme vya zanzibar kutoka zeco,Baada ya muungano nyerere alitumia technic ya kuuchukua umeme wetu,alichokifanya kutuletea umeme wake na kuchua magenerator ya zanzibar ambayo yalikuwa yakizalisha umeme.Niambie sisi Wazenji tunatumia akili gani wakati kila kitu tumelala tunawategemea machogo, umeme wenyewe watupa wao kwa upendeleo kama wake wadogo, upuuzi tu, hujui unacho ongea kaa kimya!
wacha uzaifu wewe,kwanza nikuulize wewe mwanamme au mwanamke ? mbona umekuwa unaogopa ogopa,utakufa masikini wewe.Maskini sie tumeshalizoea giza letu.
Tuacheni tukae nalo tu tusije tukalalamika alafu tukapigwa mabomu.
Ama wenzetu hamuogopi polisi?