MSELA WA KOTA
New Member
- Oct 16, 2012
- 2
- 1
Unajua nakuthamini zaidi ya POSHO NA MSHAHARA bila wewe siwezi kuishi ni sawa nakukosa BUNDUKI eneo la tukio nitakuheshimu kama LINDO wewe ni IGP wa moyo wangu daima nitakuweka mbele kama CROWN ya kofia mbona kimya nijibu basi nipate kufungua JALADA NDANI YA MOYO wako usinifanye moyo ukaenda mbio kama DEFENDER MPYA nitakuwekea usalama kama msafara wa RAIS nina RB ya penzi lako mpenz wangu usiniweke roho juu kama MAANDAMANO YA CHADEMA. :eyebrows: