Swaga za polisi akitongoza

MSELA WA KOTA

New Member
Oct 16, 2012
2
1
Unajua nakuthamini zaidi ya POSHO NA MSHAHARA bila wewe siwezi kuishi ni sawa nakukosa BUNDUKI eneo la tukio nitakuheshimu kama LINDO wewe ni IGP wa moyo wangu daima nitakuweka mbele kama CROWN ya kofia mbona kimya nijibu basi nipate kufungua JALADA NDANI YA MOYO wako usinifanye moyo ukaenda mbio kama DEFENDER MPYA nitakuwekea usalama kama msafara wa RAIS nina RB ya penzi lako mpenz wangu usiniweke roho juu kama MAANDAMANO YA CHADEMA. :eyebrows:
 
Halafu polisi wanahusudu vimwana, wengi wao huwa na watoto wa nje
 
Mbona hajasema 'nitakulinda dhidi ya kitu kinachosadikika kuwa kizito chenye ncha kali kitakachorushwa kutoka upande usiojulikana'?
 
Unajua nakuthamini zaidi ya POSHO NA MSHAHARA bila wewe siwezi kuishi ni sawa nakukosa BUNDUKI eneo la tukio nitakuheshimu kama LINDO wewe ni IGP wa moyo wangu daima nitakuweka mbele kama CROWN ya kofia mbona kimya nijibu basi nipate kufungua JALADA NDANI YA MOYO wako usinifanye moyo ukaenda mbio kama DEFENDER MPYA nitakuwekea usalama kama msafara wa RAIS nina RB ya penzi lako mpenz wangu usiniweke roho juu kama MAANDAMANO YA CHADEMA. :eyebrows:

Duhh kweli we MSELA WA KOTA
 
Last edited by a moderator:

Similar Discussions

Back
Top Bottom