NewGapi
JF-Expert Member
- May 28, 2020
- 311
- 948
Habari za muda wakuu,
Naomba ushauri juu ya haya magari mawili. Lipi ninunue
1. SUZUKI JIMNY 2013 1.3L, manual transmission.
Hii gari ilinunuliwa mpya 0 km, hivyo usajili wake ni no. C. Ilikuwa ni ya shirika moja la kimataifa wao huuza gari likifika miaka 7 au km 70,000 mileage. Hivyo nina uhakika na historia ya service kwani ilikuwa inafanyiwa kwa uhakika na garage reputable hapa mjini, na haikuwa na safari za nje ya mji, trip zake ilikuwa Masaki to Posta tu.
Na inauzwa below 10m.
2. Niagize IST ya mwaka 2007 kutoka Japan nitafute mtandaoni.
Naomba ushauri,
Nb. Me ni mkazi wa Dar es salaam.
Nawasilisha.
Naomba ushauri juu ya haya magari mawili. Lipi ninunue
1. SUZUKI JIMNY 2013 1.3L, manual transmission.
Hii gari ilinunuliwa mpya 0 km, hivyo usajili wake ni no. C. Ilikuwa ni ya shirika moja la kimataifa wao huuza gari likifika miaka 7 au km 70,000 mileage. Hivyo nina uhakika na historia ya service kwani ilikuwa inafanyiwa kwa uhakika na garage reputable hapa mjini, na haikuwa na safari za nje ya mji, trip zake ilikuwa Masaki to Posta tu.
Na inauzwa below 10m.
2. Niagize IST ya mwaka 2007 kutoka Japan nitafute mtandaoni.
Naomba ushauri,
Nb. Me ni mkazi wa Dar es salaam.
Nawasilisha.